Recent content by no9

  1. no9

    Lukuvi ashushuliwa! Askofu wa Kanisa la Methodist amtaka atubu

    mungu muweza wa yote anamakusudi yake kwa kila jambo,ibirisi hana nafa tena
  2. no9

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    mama yangu kaugua miaka 17 alikuwa wa kufa nilimpeleka peramio hosp alipewa dawa za miezi mitatu kapona mpaka leo ni miaka 11 imepita
  3. no9

    Daah Ajira ngumu aisee!

    kusoma ni kuondoa ujinga maisha ya sasa tegemea kujiajili ajilra ni utumwa
  4. no9

    matatizo ya korodani moja kuvuta na kuwa ndogo

    uume mara nyingi asubuhi ukisimamama unalalia kushoto kwa sababu zile korodani moja inakua chini chini kidogo
  5. no9

    matatizo ya korodani moja kuvuta na kuwa ndogo

    Ndiyo kukamilika kwa mwanume siku zote hayalingani na asilimia kubwa ya wanaume ukivua nguo mzee analalia kushoto kama kuna maumivu muone dr
  6. no9

    Mie ni new member na nina haya

    umri wako bado mdogo subiri ukuwe halafu tukujadili
  7. no9

    Maskini Mungu atuhurumie sisi tuliooa au tulio na mahusiano na Wadada wasomi!

    mtu anapenda kushirikiana na mtu ambaye anamshauri,anamfariji,wanabadilishana mawazo,anamsifia anapofanya jambo zuri na kn kwanini wasishirikiane na tendo la ndoa ni sehemu ya kuongeza cku za kuishi kwa faraja unayopata .ndoa nyingine ni kama mahabusu ndogo
  8. no9

    Nianzeje kumwambia mke wangu kuwa nimezaa nje?

    yameshatokea tumia busara kwanza mueleze kama hakuelewi ndenda kijeshi jeshi atachukia lakini yataisha
  9. no9

    Nakuomba uchukue time kuangalia hii picha hlf unipe ushauri.

    kitu cha kawaida tu sukutua na maji ya vuguvugu ya chumvi asbuhi na jioni
  10. no9

    Mke wangu hana nidhamu?

    hayo ni maji chakula je? upendo kwa ndugu na marafiki ukoje? ushirikishwaji mipango ya kifamilia na kiuchumi ikoje?je ni muajiriwa au mama wa nyimbani ,anamradi wowote toa ufafanuzi mdogo kwa haya utasidiwa ndoa bado changa sana .
  11. no9

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    huyu nafikiri kichaa kimempanda kidogo
  12. no9

    Amenisomesha, kaninunulia gari lakini sina mapenzi naye

    wewe utakufa siku si zako kinachotakiwa ni maisha sio elimu,elimu ni matokeo tambua mafahari wawili hawakai zizi moja siku hizi ndoa nyingi za wasomi hazidumu
  13. no9

    vijimambo vya vyoo vya master bedroom

    hawo ndiyo ananunua chupi ikichafuka anatupata ananunua nyingine
Back
Top Bottom