Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Ha ha haaa hivi vyuo vya kidigitali bwana...karibu JF
Ila ungetoa ktabu unge2lahcshia kwa 2lio wavv kusoma.
nimesoma....sijaelewa....
jaribu kuandika "short and clear" wengine tunatumia visimu vya mchina, una scroooooool we ukifika mwisho wa habari yenyewe vidole vishachoka na ushasahau mwanzo
.....Mimi nikitaka kuchangia kwa kirefu huwa naconstruct kwanza pembeni ...nikiona poa ndo napost ....inaseidia kuandika kitu kinachoeleweka kidogoNilifikiri mi pekeyangu
hi jamii forum member
its my first time to join the group and amm so in love with jamii member helping each other and i hope na mimi naweza pata mchango wenu wa kimawazo pamoja na mbinu mbalimbali kuhusiana na maisha kwa ujumla.:help:
Kwa kuaanza mimi ni kijana mwenye akili timamu na mzima kiafya pmoja na viungo vyote vya mwili kwa hilo na mshukuru mungu sana na kila siku iyendayoo kwa mungu nafanya hivyoo.Kiufupi nina elimu nzuri tu na nina uwezo wa kufanya maamuzi mazuri ya kimaendeleo pamoja misimamo ya kimaisha na nina kazi nzuri tu ambayo na mashukuru mungu kipato nacho kipata kina kizii mahitahi yangu.
Misha yangu yote nimekuwa mtu wa kujituma kielimu pamoja na kimaendeleo na muda umefika naona nitafute wa kuwa naee kimaisha yangu yaliobakiaa hapa duniani kusema kweli wasichana wote ambaoo kwa namna moja ama nyingine niliowaona wanafaa kuwa wachumba mpaka kuwa wake wandoa sijaona kwa kila watatu ama watano unakuta wanamapungufu amabyo sio mabaya kwa upande moja au mwingine ila kwa mimi sijaona, ila nashukuru mungu kwani niliyekuwa na muwaza muda mrefu na yule ambayee ilikuwa naomba mungu nimpate kwa muda wote huo nimeona na nahisi na kusema kweli sikuchelewa nikafanya kama mwanaume mwingine ambaee ni rijaliii anatakiwa afanyee.
Mahusianoo yetu yaliaanzaa kwa kasi sana huku nikiwa katika njia panda kwani kwa kipindi hiki nilikuwa na msichana mwingine ambayee tulikuwa tufanya wote project na huyu msichana akawa ananipenda kwa dhati na mimi nilikuwa katika wakati mugumu sana wa kufanya maamuzii ya kuachana na huyu kiasi cha kwamba sikutaka aumiee sana ila nilimweka chini na nikamwambia kuwa the only thing which keeps us together is this project and nothing else kusema kweli alikuwa mwelewa sana.Mahusiano yetu kati ya mimi na huyu yali dumu ndani ya miezii mitatu kwani nilijua sinto weza kumuweka katika nafasi ya uchumba hati maee katika nafasi ya mkee. Lakini mpaka sasa nakumbuka maneno yake aliyosema kuwa "utaja pendwa usipende na utakuja kupenda usipendwe" huu usemii naufananisha na jule wa "What goes around comes around"
Katika maisha yangu yote haya when it come to love relationship i have been in two form of relation one when i was in high school were by things got mishanded it was like a puppy love so we decided to end it and the second form when i finish my univercity which its ended badly and since i decided not to engage in any form of relatioship untill i manage to stand up by muself and namshukuru mungu nimejituma sana kwa nguvu zote na nashukuru mungu kwasasa nilipofikia na still keep own fight untill the end of time.
Maisha yakaendelea na sasa muda ulifika wa kutafuta kimwana wa kuishi naeeeee............. to be continue
jamaa yangu anasemaga ukitaka mwanamke asiye na kasoro oa dada yako na ukitaka mwanaume asiye na kasoro olewa na kaka yako, teh teh!
huo ni uongo mtupu, nina lidada langu linavyomwendesha mme wake hadi natamani kulidunda.
hi jamii forum member
its my first time to join the group and amm so in love with jamii member helping each other and i hope na mimi naweza pata mchango wenu wa kimawazo pamoja na mbinu mbalimbali kuhusiana na maisha kwa ujumla.:help:
Kwa kuaanza mimi ni kijana mwenye akili timamu na mzima kiafya pmoja na viungo vyote vya mwili kwa hilo na mshukuru mungu sana na kila siku iyendayoo kwa mungu nafanya hivyoo.Kiufupi nina elimu nzuri tu na nina uwezo wa kufanya maamuzi mazuri ya kimaendeleo pamoja misimamo ya kimaisha na nina kazi nzuri tu ambayo na mashukuru mungu kipato nacho kipata kina kizii mahitahi yangu.
Misha yangu yote nimekuwa mtu wa kujituma kielimu pamoja na kimaendeleo na muda umefika naona nitafute wa kuwa naee kimaisha yangu yaliobakiaa hapa duniani kusema kweli wasichana wote ambaoo kwa namna moja ama nyingine niliowaona wanafaa kuwa wachumba mpaka kuwa wake wandoa sijaona kwa kila watatu ama watano unakuta wanamapungufu amabyo sio mabaya kwa upande moja au mwingine ila kwa mimi sijaona, ila nashukuru mungu kwani niliyekuwa na muwaza muda mrefu na yule ambayee ilikuwa naomba mungu nimpate kwa muda wote huo nimeona na nahisi na kusema kweli sikuchelewa nikafanya kama mwanaume mwingine ambaee ni rijaliii anatakiwa afanyee.
Mahusianoo yetu yaliaanzaa kwa kasi sana huku nikiwa katika njia panda kwani kwa kipindi hiki nilikuwa na msichana mwingine ambayee tulikuwa tufanya wote project na huyu msichana akawa ananipenda kwa dhati na mimi nilikuwa katika wakati mugumu sana wa kufanya maamuzii ya kuachana na huyu kiasi cha kwamba sikutaka aumiee sana ila nilimweka chini na nikamwambia kuwa the only thing which keeps us together is this project and nothing else kusema kweli alikuwa mwelewa sana.Mahusiano yetu kati ya mimi na huyu yali dumu ndani ya miezii mitatu kwani nilijua sinto weza kumuweka katika nafasi ya uchumba hati maee katika nafasi ya mkee. Lakini mpaka sasa nakumbuka maneno yake aliyosema kuwa "utaja pendwa usipende na utakuja kupenda usipendwe" huu usemii naufananisha na jule wa "What goes around comes around"
Katika maisha yangu yote haya when it come to love relationship i have been in two form of relation one when i was in high school were by things got mishanded it was like a puppy love so we decided to end it and the second form when i finish my univercity which its ended badly and since i decided not to engage in any form of relatioship untill i manage to stand up by muself and namshukuru mungu nimejituma sana kwa nguvu zote na nashukuru mungu kwasasa nilipofikia na still keep own fight untill the end of time.
Maisha yakaendelea na sasa muda ulifika wa kutafuta kimwana wa kuishi naeeeee............. to be continue
when it comes....
two forms.....
whereby things got mishandled
university which ended
until
myself
to be continued......karibu jf.