Nimejaribu:
1. Nikitumia miracle box inafeli kwenye "downloading boot 8" then inajifunga.
2. Kuweka custom ROM kwa sp - flash tool, nimefeli.
3. Nime apply update kutoka kwenye sim card inagoma.
4. Nimetumia mobile uncle apk ku restore IMEI kutoka kwenye bak file sijafanikiwa.
5. Nimetumia...
Wadau, mimi sio mlevi na wala situmii kilevi cha aina yeyote ile, Sitamani kuwa mlevi na wala sijawahi kuwaza kutumia kilevi, hata haya ma-energy drinks sijawahi kutumia.
Cha kushangaza jana usiku nimeota nakunya bia, nilipata pafu moja ila ikawa na ladha mbaya then nikaitema. Hii ni mara ya...
Huo ni ujumbe ninaoupata ninapolocate pointer kwenye icon ya battery, sometimes inacharge na sometimes haicharge. Nimejaribu ku-uninstall and ku~reinstall ACPI nikidhani kuwa inaweza kuwa corrupt lakini sijafanikiwa. Msaada wa haraka plz, nisaidieni viongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.