Teh teh! Gari sio MATA..ko Kila mtu anayo, tunajua hupendi unavyopangwa na kukanyagwa kwenye ma DCM,ni Ukapuku 2 utafanyaje? tunajua na wewe unatamani kumiliki kopo la 50m teh! teh! teh!
We kilaza Una siku 5 tu iringa, then umemwona mtu anamsifia mwarabu flani unageneralize watu wa iringa wapo hivyo. Au ulitaka huyo akushangae wewe kapuku? Waulize wenaoijua iringa watakwabia matajiri wa iringa (wakinga, wabena na Wahehe) ni akina nani. Iq yako ndogo
Kuna miji ua Uarabuni ambayo imechoka kama hapa kwetu namikweche yao ambayo imekua reconditioned wanauzia kariakoo ya uarabuni "Dubai", kwa mfano sehemu kama Al Rahba, Madha, Swaihan, Abu dhabi zimechoka tu na ni RHD drivers. So kuhusu mitumba ya uarabuni sio reliable.
Magari nayajua vilivyo, lakini scientifically depreciation ya gari inategemea sana mileage, kwa jinsi nilivyo najua hiyo ni opinion ya mtu na sio fact. by the way magari mawili moja lina 50,000 na limetunzwa vizuri na jingine lina 200,000 na limetunzwa vizuri hayafanani. usiwe compromised na...
no name no name, Kukuhakikishia usalama wa pesa yako, utaituma pesa ya CIF moja kwa moja kwa muuzaji, that means mimi sitaishika pesa yako hata kidogo, then gari ikifika, TRA utawalipa kwa mkono wako mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.