no name no name
Member
- Jan 20, 2012
- 20
- 14
Pale kigogo njia ya kuelekea ubungo maziwa, kama 100m kutoka round about ya kigogo, mkono wako wa kushoto. namba yao ni +255714553308Ok, nashukuru sana, nisehemu gani hapo kigogo ? niko Dar tafhali.
Pale kigogo njia ya kuelekea ubungo maziwa, kama 100m kutoka round about ya kigogo, mkono wako wa kushoto. namba yao ni +255714553308Ok, nashukuru sana, nisehemu gani hapo kigogo ? niko Dar tafhali.
My pleasureAsante sana!
Mkuu Kaizer tatizo mafundi wengi wa Mtaani wanajua Kugonga nyundo, kubadili filter na kusafisha, Magari mengi ya kisasa yanatumia Umeme na Electronic nyingi kuliko Mechanics issues, Ni vizuri ukaenda kwa Mafundi ambao wanaweza kufanya diagnosis, wanaweza kutafrisi troube codes zinatolewa na Computer. Unaweza kukuta ni Filter flani imepata uchafu au imejaa Carbon kwa hiyo transmission inakuwa siyo nzuri. D-4 engine zina nguvu sana na kwa kweli zinahimili Mazingira mengi. Tatizo si D-4 engine bali mafundi wetu ni Zero Brain. Peleka gari yako Toyota au kwa Mchina pale Kijitonyama (Kelvin). Unaweza kukuta ni EGR valve au anything imejaa carbon
Pale kigogo njia ya kuelekea ubungo maziwa, kama 100m kutoka round about ya kigogo, mkono wako wa kushoto. namba yao ni +255714553308
Ndugu, naona kama ushauri wako ni mzuri kama unamatumaini vile ngoja , kwahiyo unauhakika na wewe Gari ilikuwa inatatazo kama hilo na ukatoa alamu ikawa safi!? mimi nimefunga alamu ambayo naweza kuwasha gari niko nnje.