Matamko ya mkuu wa nchi hii ya watanganyika yanashangaza saaaana! Hivi kuna Rais yeyote yule kwa hivi karibuni ambaye hakutafuta kuungwa na hawa vijana wachumia matumbo aka uvsisiemu? Ex Tanganyika semper aliquidi novi.Kila kukicha lazima kutazaliwa na kituko Tanganyika.
Historia haitufundishi hivyo.Sisiemu itang'oka tu kwani watz sasa wameamka.Watu wamechoka na chama cha ccm kwa sababu hakina lake jambo ila kutaka kuwa na madaraka ili kiwe na madaraka.
Alichokifanya siyo sahihi kabisa.Lakini ndivyo waimbaji wengi wa nyimbo za Injili walivyo kwa hivi sasa.Unaweza kuwaalika hata kwenye uzinduzi wa kilevi nao watatia mguu bila hata soni,pesa mbele kama kitambi na utukufu kwao siyo jambo la maana.wengine shoo zao wanakatika kama mr. Nice eti nao...
Wachina wanaifilisi nchi yetu ya TANZANIA huo ni ukweli kwa asilimia mia moja! Ni watoa rushwa wakubwa,wakwepa kodi na ni wanyanyasi wakubwa wa wafanyakazi wa kitanzania.Tatizo kubwa ni pipi wanazozigawa kama ambavyomtoa uzi alivyosema.Hawa jamaa wanaingamizanchi hii.Nitampigia kura ya ndiyo ya...
Mpotoaliwahi kutembelea UDOM,na kipindi hicho chuo kilikuwa kwenye migomo ya mfululizo kupinga uonevu uliokuwa unafanywa dhidi ya wanachuo.Mpoto alisema hivi;"ukitaka kuvuka mto wenye maji mengi na ukamkuta mtu kando ya huo mto na akakupa sharti kwamba ni lazima umwamkie mbwa ili uvushwe kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.