KILAKA
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 374
- 127
LOWASSA ANASWA LIVE NA KAMERA AKITOA TSHS 50 MILLIONI, HUKU AKIAHIDI KUKAMILISHA MILIONI 500 ENDAPO KAZI YAKE ITAKUWA NZURI.
Taarifa zisizo na shaka ni kuwa
Makaonda alimtumia Mrisho Mpoto
katika mtego wake huo,Mpoto
aliufanikisha mtego huo pahala
alipopanga kuonana na Bwana
Lowasa kusalimia, kulikuwa na
camera maalumu zilizotegwa kwa
juu, alimsalimu na
kumuimbia mashairi Lowasa
ambayo yalimfanya Mh Lowasa
kufurahi na kucheka baada ya
kusifiwa na mashairi hayo.
Walikaa mezani na alimpa mpoto
milioni 50 hapo hapo akitaka
atunge wimbo nakubadilisha
mashairi ya kumsifia Mzee Sitta
na badala yake pamoja na wimbo
wa Mjomba uwe ukimsifia yeye
Lowasa,alimwambia kuwa ata mpa
milioni 500 endapo kazi hiyo
itakuwa nzuri na akiendeleea
kushirikiana nae katika safari
yake ya kwenda ikulu
Mara baada ya mazungumzo hayo
Mpoto alishtushwa sana na
kupigiwa simu na watu wengi sana
wakimlaumu kuwa anatumika
kisiasa na wana siasa na
kutumiwa kipande cha vidio
akimchekesha mfalme ili apate
kula
Tangu hapo Mrisho amekuwa
akilalamika sana kwanini
alirekodiwa bila yeye kujua na
kwa kamera ambayo ilikuwa
imefungwa juu ? na baada ya
kuonyeshwa kipande kizima cha
vidio hadi akipokea kiasi hicho cha
milioni 50,
Mpoto ameumia sana
amerejesha fedha zote akisema
hawezi shiriki rushwa na tayari
fedha hizo anazo Makonda ambapo
atazikabidhisha kwa kamati ya
maadili ya CCM pamoja na
ushahidi huo wa vidio
MAKONDA AMEPANGA KUWEKA
KILA KITU HADHARANI HIVI
KARIBUNI KUTHIBITISHA MANENO
YAKE YA AWALI MWAKA JANA
KUWA MH LOWASA AMEKUWA
AKIHONGA WATU MAMILIONI NA
KUKIHARIBIA CHAMA SIFA
KIKIONEKANA KUWA NI CHAMA
CHA MAPESA KWENDA IKULU na
kwakuona kipande chote cha vidio
ambayo Mpoto anachukua milioni
50.
mara
baada ya makonda kuzungumza na
wanahabari akikabidhi pesa hizo
kwa Mzee Mangula.
Mkuu nakuomba sana sana!!!!! Kuna watu kibao hatujawahi kuona hiyo video, naomba upost au utoe link utakuwa mzalendo wa kweli kweli mkuu!!!!! LETA VITU WATU WAUMBUKE VIZURI.