Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Kwani ulidhani Faiza ni mzee? Hapana. Nimkijana tu sema ameamua kujizeeshamkuu kumbe faiza ni uvccm?
Kwani ulidhani Faiza ni mzee? Hapana. Nimkijana tu sema ameamua kujizeeshamkuu kumbe faiza ni uvccm?
mbona na yeye aliwatumia hao makuwadi uvccm alipokuwa anautaka urais!!!!!huyu jk ni mnafiki sana,miaka yote kumi amezurura dunia nzima kuombaomba,leo hii mwisho wa utawala wake umefika anawatukana wafadhi...ni wa kudharau tu huyu.
Rais Kikwete amewalenga akina HAMY - D, MUSSA ALLAN, laki si pesa, Mingoi, Mzee, FaizaFoxy, Ocampo four, Ruttashobolwa, Ritz na wengine ndani ya UVCCM ambao wameamua kuwa makuwadi wa fisadi Lowasa
this guy is creating more enemy that he wont be able to handle akitoka kwenye urais, cjui kwa nn anadhan akitoka kwenye urais ataendelea kua na power izi izi.... he will know better akitoka
Weee nawe!! Hii mibabu na mibibi unasema wako ndani ya UVCCM!!!Rais Kikwete amewalenga akina HAMY - D, MUSSA ALLAN, laki si pesa, Mingoi, Mzee, FaizaFoxy, Ocampo four, Ruttashobolwa, Ritz na wengine ndani ya UVCCM ambao wameamua kuwa makuwadi wa fisadi Lowasa
wewe unataka upewe msaada kwa masharti kuwa ukitaka usaidiwe lazima upitishe sheria ya ushoga
mbona na yeye aliwatumia hao makuwadi uvccm alipokuwa anautaka urais!!!!!huyu jk ni mnafiki sana,miaka yote kumi amezurura dunia nzima kuombaomba,leo hii mwisho wa utawala wake umefika anawatukana wafadhi...ni wa kudharau tu huyu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM Taifa,amewaonya baadhi ya wanachama wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi kuacha kuwa makuwadi wa baadhi ya viongozi wanaotaka urais kupitia chama hicho.
Duu! Kumbe hata Rais wa nchi amewagundua hawa vijana wanaotumika kisiasa ?
JK bana, mwenyewe aliwatumia sanaaa, sanaaaa hawa vijana kuingia Ikulu, leo anawaonya nn..!!? Kituko hiki, jamani, au sbb Lowassa ana nguvu kubwaaa kwa hawa vijana sasa, na sbb hampendi hv, ndio anawaonya..!!? mbona yeye aliwatumia sanaaaa...!!!? CCM itakufaa very soon, SAUTI YA WATU, SAUTI YA MUNGU....!!! CCM inacheza na Lowassa, ebu wafanye research ndogo tu mitaani, au ktk daladala, mabasi, radios, tv, news papaers, kila kona, ni Lowassa, Lowassa, mm sijui CCM ndio inakufa kweupeee..!!!
Ila kifo kinakuja kwa njia ya AJABU sana sometimes, HADI UKIKIONA NDIO UTAKUBALI WHILE WILL BE TOO LATE...!!
CCM YANGU, itabakia historia, once this time watacheza na Lowassa, na niweke wazi, UKAWA hawatamtangaza mgombea wao hadi wajue, MGOMBEA WA CCM, wakiwa na imani ikiwa CCM itamwacha Lowassa, basiiiiiiiiii, liwalo na liwe, wanamchukua, CCM ITABAKIA HISTORIA....!!!" mtaja niambia, CCM YANGU INAKUFAA...!!!
Kwani ulidhani Faiza ni mzee? Hapana. Nimkijana tu sema ameamua kujizeesha
UKAWA hawawezi kumsimamisha Lowasa hata wakipewa bure. Wakifanya hivyo basi nao watakua wamekula matapishi yao wenyewe. Tunataka mabadiliko sio mradi raisi
Nyabingi mmmmmmbona na yeye aliwatumia hao makuwadi uvccm alipokuwa anautaka urais!!!!!huyu jk ni mnafiki sana,miaka yote kumi amezurura dunia nzima kuombaomba,leo hii mwisho wa utawala wake umefika anawatukana wafadhi...ni wa kudharau tu huyu.
Wee unaongea kama ww, UNABISHANA na Mbowe, Dr. Slaa, maalim seif, ww ni nani UKAWA...!!? huku Viongozi wa kuu wa UKAWA ndio target kubwa kwao ni LOWASSA akiachwa na CCM mara moja wanamchukua..!!? sasa ww ni nani ukawa...!? mpigie Mbowe, Slaa, Lipumba, Mbatia, hawawezi kutangaza mgombea wa UKAWA hadi CCM watangaze wa kwao... ili mchezo uchezwe sasa...
Au unajua naongea bila ushahidi..!? ww si uko UKAWA...utabakia UKIWA...subiria uone...au ulizia viongozi wako wa UKAWA NAYOSEMA...najua labda hawata kuambia wazi...ila mark my words...utaja sema..!!!
Unasema ???UKAWA hawawezi kumsimamisha Lowasa hata wakipewa bure. Wakifanya hivyo basi nao watakua wamekula matapishi yao wenyewe. Tunataka mabadiliko sio mradi raisi
UliyaonaaaJK bana, mwenyewe aliwatumia sanaaa, sanaaaa hawa vijana kuingia Ikulu, leo anawaonya nn..!!? Kituko hiki, jamani, au sbb Lowassa ana nguvu kubwaaa kwa hawa vijana sasa, na sbb hampendi hv, ndio anawaonya..!!? mbona yeye aliwatumia sanaaaa...!!!? CCM itakufaa very soon, SAUTI YA WATU, SAUTI YA MUNGU....!!! CCM inacheza na Lowassa, ebu wafanye research ndogo tu mitaani, au ktk daladala, mabasi, radios, tv, news papaers, kila kona, ni Lowassa, Lowassa, mm sijui CCM ndio inakufa kweupeee..!!!
Ila kifo kinakuja kwa njia ya AJABU sana sometimes, HADI UKIKIONA NDIO UTAKUBALI WHILE WILL BE TOO LATE...!!
CCM YANGU, itabakia historia, once this time watacheza na Lowassa, na niweke wazi, UKAWA hawatamtangaza mgombea wao hadi wajue, MGOMBEA WA CCM, wakiwa na imani ikiwa CCM itamwacha Lowassa, basiiiiiiiiii, liwalo na liwe, wanamchukua, CCM ITABAKIA HISTORIA....!!!" mtaja niambia, CCM YANGU INAKUFAA...!!!&[HASHTAG]#128567[/HASHTAG];&[HASHTAG]#128567[/HASHTAG];