Sasa benki ina wafanyakazi 1000+ Halafu wamekufa watatu mmoja kwa kuuliwa na majambazi, mwingine alifanyiwa operation akiwa anajifungua hospital hawakuwa na damu ya kumwongezea watatu nae ni operation Sasa Unataka
Una ushahidi?
Mh Kangi naomba kwa Idhini ya Jamii Forum nivae Kofia ya Kininja ili nisikuonee huruma kabisa !!
Mh naomba pia nivae shati la chama ili kuonesha jinsi chama kilivyokerwa Na hili jambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.