chotibalula
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 206
- 110
Za sahivi wana jamii,
Kama kichwa cha habari kinavyosema... Naomba mwenye kujua riba na taratibu za mikopo kutoka bank ya posta. Mimi mtumishi nataka mkop wa mshahara. Asanteni.
Kama kichwa cha habari kinavyosema... Naomba mwenye kujua riba na taratibu za mikopo kutoka bank ya posta. Mimi mtumishi nataka mkop wa mshahara. Asanteni.