Nimesoma tangazo lenu Tanesco la katizo la umeme kuanzia saa 2.00 asubuhi mpaka saa 11.00 jioni Jumamosi na Jumapili, ajabu ni kwamba mpaka ninapoandika hapa saa 12.37 umeme haujarudi, na hiyo ndio imekuwa kasumba yenu. Siku nyingine mnaukata saa 12.00 alfajiri mpaka saa 1 jioni. Halafu semeni...
Jamani uongozi wa Tanesco Temeke na baadhi yenu najua mko humu JF, tunawaomba tuko chini ya miguu yenu lakini hatuwach...lii, mtuhurumie rudisheni umeme angalau hata kwa nusu saa tuchaji simu zetu, hapa nimeomba msaada kwa mwenye jenereta ili nishtue kidogo, tafadhali....
Mie nataka kuwa wakala wa hayo maziwa ya brookside, kwa mwenye uelewa tafadhali naomba maelekezo aidha ya contact zao, namaanisha Kenya. Msaada please!
Nimesikitishwa sana na tabia ya hii ya airtel, naona wanatumia nguvu sana ya kuiba pesa za wateja wao kulipia hizo IST. Mie nina utaratibu wa kuweka kifurushi cha yatosha cha Tshs.10, 000/- kikiwa na gb 800 kwa ajili ya matumizi ya mwezi,hivyo niliweka kifurushi wiki jana lakini huduma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.