Wizara ya ardhi na viwanja katika manisipaa ya Bukoba

Wizara ya ardhi na viwanja katika manisipaa ya Bukoba

munywanyi

Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
15
Reaction score
2
Wanajamvi napenda kufahamishwa juu ya upatikanaji wa kiwanja kama tangazo la viwanja lilitoka, ukalipa malipo ya awali ila mpaka sasa unakwenda mwaka wa pili toka 2012 November ila mpaka sasa hakuna lolote linalosemwa kila ukienda wanasema bado. Hawa watu wa ardhi ni shida kweli kweli maana hapa wamekuwa Mungu Mtu. Nakumbuka walisema endapo hutopata kiwanja utarudishiwa pesa zako ila mpaka sasa naona kimya au wanataka hizo pesa tuwadai na riba? Ushari wenu ni wa muhimu wakuu

Ni manispaa ya Bukoba mkoa Kagera.
 
Hadi wale madiwani warudishwe ndo utapata haki yako. Wasamehe tu kiroho safi kwani pesa yako imetumiwa na Watanganyika wenzako.
 
Ardhi kazi yao kula pesa za walala hoi tu. Hapa Bk kuna afisa ardhi anaitwa Katres ni noma
 
Back
Top Bottom