Recent content by nkwilehi

  1. N

    Natafuta line ya tigo pesa

    ncheki mm nnazo. mbili afu bei yangu ndogo huez amiin 0653 639214
  2. N

    Msaada: Mwenye ufahamu kuhusu Tigo pesa M- pesa na Airtel Money

    ni biashara bahri sana ukijituma na kuwa na murjani ya pesa kwa sababu ili uone faida inabd hela iwepo mda wote mtu akitaka niweka kuota Chagua sehemu yenye watu wengi na posho yake ni mrefu sana
  3. N

    BMTL vacanvy

    kufanya kaz na wahindi inabid uwe na dhiki vinginevo itakushinda mshahara sisimizi kaz tembo mazingira duni masharti kibao hakuna ubunadamu hawa watu Tz wasepeshwe
  4. N

    CCNA(Cisco Certified Network Associate)

    UCC mliman garama sana kwa wanafunzi wa UD $400 wasio wanafunzi wa UD $800 mm nlisoma mwaka 2011
  5. N

    Naomba kujuzwa shule nzuri ya nursary na primary dar

    habarin wana jamvi naombeni kwa yeyote anaefahamu shule nzuri ya nursary au msingi ya kulipia naomba na contact zao kama unazijua utanisaidia sana. asante
  6. N

    Job vacancies-corporate sales executives

    mm wameniita ktk interview jtatu tar25/3 nende na cv inaonyesha wako serious coz nimechek ktk website yao wanahusika maswala ya online school management system link hii Centralized Student Information System lkn kwa registered schools ndo mzaz unaweza kulogin. nazan ni sehem ya ukwel kujaribu c...
  7. N

    erolink upumbavu mtupu na matapeli

    msidanganyike kirahis hivo hao watu waliambiwa ndio wafanye kaz ya kuuza line na modem za vodacom kuptia mshiko chap chap yan First Recharge Comission(FRC) na walikua wasichana kwa sabu ya kujiona wao wana degree nzuri wakakataa kama wabongo walivo unajifanya bishoo wakati ela huna mim nna...
  8. N

    kwa nia njema naomba kuwasiliana na dada yeyote alechaguliwa ardh university

    hey JF's why ar u so egocentric to that far? i humbly requested for a contact for such a good will, why do u twist ur mind in that fake idea? naomba namba ili anisaidie kitu cha msingi co ujinga huo mi nna heshima zangu jamani
  9. N

    kwa nia njema naomba kuwasiliana na dada yeyote alechaguliwa ardh university

    habarini wanajf mimi ni mkaka nna shida na mdada yeyote ambae amechaguliwa pale chuoni nna mambo mazuri na ya heshima nataka anisaidie. naomba tuwasiliane kwa email, nkwilehii@gmail.com au namba 0653 639214
  10. N

    nataka nijinoe kwenye IT

    karibu katika IT field ila jitahid kuelewa mambo na sio kukariri, jitahid kuvijua vitu practical badala ya kung'ang'ania maandishi ili ufaulu pepa tu baada ya kumaliza kuna mtiti mzito
  11. N

    wana udsm tupo, hii ndo tarehe halisi ya kufungua chuo kwa mwaka wa kwanza

    ila ni vema kuripoti mapema na kuchuka form kabla hata ya tarehe coz hua kuna folen had unachukia
  12. N

    Udsm join instructions letters

    hua wanaruhusu nazan week mbili au tatu kabla ya kufungua chuo cna uhakika sana coz mi nlichukua wiki moja kabla
  13. N

    Kiukweli hivi kazi gan za it zinalipa bongo?

    japo na mimi nko natafuta kazi lakin naamini networking na web designing inalipa sana
Back
Top Bottom