Hyo ilikua strategic mana mngeambiwa tangu mwanzo mngepiga kazi chini...
Tatizo la mabishoo wa mji huu wanadhani ukipata kidegree basi ajira TRA tu. Hebu achezi uzembe kauzeni vocha modem n line uko.
Sent from my BlackBerry 9300 using
JamiiForums
Mkuu uko sahihi.. Kuna kitu nataka kuwaambia hawa raia wahenga wanasema mwenda bure si mkaa bure.. Ukiwa kazini lazima utapata michongo mingine tofauti na ukiwa home 2 au ukitembeza bahasha za kaki mjiniKama wanayouwezo wa kupata hiyo 3500 per day wakae nyumbani! Ila kama hata hela ya nauli na vocha za kuzungusha bahasha mjini hawana wakapige kazi tu. Wengi wao hata hela ya kutoa copy vyet hawana hadi walie kwa wazazi kama watoto wa primary! Vijana wanawaza kutoka chuo kupata kazi ofisi za viyoyozi na ku drive mjini!..hakuna tena bum mtaani na ukishapewa elimu na mzazi hakuna tena mambo ya kuomba hela nyumban sijui nauli na vocha! Waende kufanya kazi wajenge na c v zao waache kilialia na kulala nyumban muda wote! Umri unakwenda jamani!
nakushauri ucende kufanya kaz na hao jamaa ata kama una njaa vp!
ucckilize wapuuz wanaokuambia degree ni kama form six, hao jamaa ni wanyonyaji vbaya mno!
utapoteza muda wako bure plus kazi zao hazikujengi kabsa bora ata ukafanye volunteering sehemu zngne.
speaking from experience
msidanganyike kirahis hivo hao watu waliambiwa ndio wafanye kaz ya kuuza line na modem za vodacom kuptia mshiko chap chap yan First Recharge Comission(FRC) na walikua wasichana kwa sabu ya kujiona wao wana degree nzuri wakakataa kama wabongo walivo unajifanya bishoo wakati ela huna mim nna degree na nnafanya hiyo kazi unlipwa sh elf 16 daily kasoro wkend, wabongo mapoz mmezid degree ina mana gan wakati ela huna kwan hyo customer care walotaka ni sh ngap useme ni ubishoo ndo umewafukuza lakn wajamaa wa vodacom wako vizuri hawan ubaya na mtu.
ubishoo unatultea umasikin Tz wale madogo wengi wao std 7 au form 4 kaz yao ni kugonga bango wanalipwa sh 7500 nan kakwambia 3500 ni uongo mtup