Habari Mkuu
Mi naomba uzoefu wako kuhusu usalama wa hizi zinazoitwa SUPPLEMENTS [Tiba Lishe]. Hususani hizi za nje ya nchi zinazotangazwa kwenye social media k.v. Instagram.
Kuna hii tibalishe naiona sana Instagram inaitwa VISIORAX. Hii imeshaingia Bongo na unatumiwa popote ulipo baada ya...
Haina tatizo mimi kuwa na upeo mdogo ilimradi tu sjaukosa kabisa
Ewe omoghaka mwenye upeo mkubwa, tofautisha "atamwita jina.." na "atakuwa". Jina kwa mtu linabeba maana tu ili atambulike na aitike kwalo wala halimpi uungu.
Isaya 7:14
Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara. Tazama, bikira...
Mitume na Manabii wote huamriwa/hutumwa na Mungu kuja kwa watu duniani kuleta sheria, bishara/habari njema ama maonyo. Yesu naye ni kama wao tu.
Yohana 8:42
Yesu akawaambia, Kama Mungu angekuwa baba yenu, mngenipenda mimi; kwa maana nalitoka kwa Mungu, nami nimekuja; wala sikuja kwa nafsi...
Utaratibu ninaoufahamu ni mtoto na mzazi/mlezi kufika kwa hakimu wa angalau Mahakama ya mwanzo kwa lengo la kula kiapo cha kubadilisha jina mkiwa na kadi ya clinic na/au cheti cha kuzaliwa vya mtoto.
Baada ya hapo nadhani mtaenda RITA kubadilisha cheti cha kuzaliwa na baadae shuleni kwa mtoto...
dmkali,
Kuna familia moja mtoto wao alipewa jina la Fataki. Si unakumbuka ile kampeni ya anti-mafataki kwa vibinti vya shule.
Dogo akawa anataniwa sana na watoto wenzie mtaani kwao na hasa p/school kwao. Dogo akakosa furaha, so ikabidi wambadilishie jina tu, no way.
Kama imekuwa shida we...
Kipindi chake mtume Muhammad (pbuh) baadhi ya wasio waislam hasa wayahudi na wakristo (walianza kuitwa hivyo kule Antiokia) walimwomba awahukumie baadhi ya mambo yao. Mpaka Allah akashusha aya kwamba wao si ni wanajivunia Taurati, kiko wapi leo!
Sasa kwenye maswala ya hukumu kama hizi za...
Mambo muhimu hasa kuhusu Islamic banking ni;
1. Uislam hauruhusu mkopo wa bidhaa fulani kwa marejesho ya mara dufu ya bidhaa hiyo hiyo.
Mifano: mkopo wa fedha sh. 100 ili kurejesha sh. 150, au mkopo wa karanga ndoo 2 ili kurejesha karanga ndoo 3 hii ni haram ktk Islam.
Ila kukopa printer ya sh...
النساء (12) An-Nisaa
Na fungu lenu ni nusu walicho acha wake zenu ikiwa hawana mtoto. Wakiwa na mtoto basi fungu lenu ni robo ya walicho acha, baada ya wasia waliyo usia au kulipa deni. Na wake zenu watapata robo ya mlicho kiacha, ikiwa hamna mtoto. Mkiwa mna mtoto basi sehemu yao ni thumni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.