Recent content by Nkwama welding

  1. N

    Msaada kuingiza internet kwenye simu.

    Asanteni wakuu msaada wenu umenifaa. Karibuni sana saranga.
  2. N

    Msaada kuingiza internet kwenye simu.

    Wadau nina simu aina ya itel ina android nataka kutumia intrrnet kupitia line ya tigo naomba mnisaidie kujaza maelezo yafuatayo: Name. APN. Proxy. Port. Username. Password. Server. Mmsc. MNC. Authentification type.APN type.APN protocal. Nitashukuru kwa msaada wenu
  3. N

    Fanya hivi ili uweze kukwamuka umasikini

    Asante kwa elimu nzuri kuhusu ufugaji wa supu nitaifanyia kazi soon.
  4. N

    mottor and dynamo kwa umeme wa bure

    kama umeweza kuwa na dynamo nakushauri ujaribu umeme wa uupepo,siyo ule wa mnara mrefu utakugharimu ku erect mnara,nazungumzia ule wa kutumia pipa lililokatwa kwa urefu nakutegwa kuwa turbine ambayo ikipigwa na upepo inazungusha dynamo ambayo itafua umeme kwa ajili ya kuchaji betri . Ukiwa...
  5. N

    Tenga anaua soka la Tanzania

    Naomba tutengeneze kitu hapa chenye kufanana na balance sheet,upande wa kushoto tujaze mambo mazuri aliyoweza kuyafanya na upande wa kulia tujaze mapungufu na madhaifu yake and then tuangalie upande upi nimzito zaidi na ndipo tupate conclusion.
  6. N

    Pata Maujanja kwa PC Zisizo na RAM kubwa

    Mkuu asante kwa elimu.naomba nikuulize swali lililo nje ya mada! Je nahitaji kuwa na pc yenye uwezo gani ili kufanya graphic designing kwa cs4 au cs5? natanguliza wingi wa asante hata kabla sijajibiwa.
  7. N

    Je wajua Kua Hutokea Mara Moja Kila Baada ya Miaka 824

    mkuu nyabhingi hupendi kwenda kazini?
  8. N

    Vyombo vya habari ( tv na radio) vya leo VINAKERA.

    Jaribu radio tumaini hawana uroho wa matangazo.
  9. N

    The best novel

    Mkuu Hiyo ni novel au movie? Hebu tuweke sawa
  10. N

    Mwinyi na Michael Jackson

    "Welcome king of pops to Tanzania,please feel at home!" "Thank you Mr.president it is my pleasure to be here......"
  11. N

    Picha; hizi ndizo barabara za hatari zaidi duniani, tazama...

    Kwa hapa Tz barabara hatari zaidi ni ile itokayo chimala Mbeya kuelekea Matamba barabara hutoisahau lpo kwenye mlima mkali madereva waliowengi katika mji kama Dar hawawezi kupanda mlima huo,una kona 52,kona maarufu zaidi imepewa jina inaitwa Mwadangala Nikona ambayo ukiwa na roho nyepesi inabidi...
Back
Top Bottom