Mwinyi na Michael Jackson

Mwinyi na Michael Jackson

una akili saana kijana!! nimetazama kwa jicho la tatu pozi zao na jinsi mr.prezidentee alivokua na bashasha usoni..
na hapo mkuu kuna zile 'protocali' za kulaunch conversations, sijui anaanza kwa kuambaia 'hawa yuu' ...... kazi kweli kweli itakuwa ilikuwa
 
Halafu mzee Ruksa mkao wake kama hana uhakika yaani muda wowote anaweza kunyanyuka
 
"Welcome king of pops to Tanzania,please feel at home!"
"Thank you Mr.president it is my pleasure to be here......"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom