ninamashaka na utendaji na ufanisi wa STRABAG

ninamashaka na utendaji na ufanisi wa STRABAG

habari wana jamvi,kw wale wakazi wa Dar watumiayo morogoro road polen kwa foleni.
. kuandika hoja hii kutokana na yale niyaonayo kwa macho yangu.
kwanza, matumizi ya malighafi.pita uone jinsi zege lilivyotupwa,jinsi matofali yalivyo vunjwa bila tija.uthibitisho upo kipande cha kimar ubungo..
pili,nikuto fanya kazi kwa mipango.fikiria walivyo anza kwa bwebwe pale kmara had ubungo lakin sasa hata reflector huon na sasa wmeenda chimbua magomeni.kwa nini msimalize sehemu moja ndipo mwende kwingine?

nihayo tu[ml/QUOTE]mkuu huo mradi unacover umbali mdogo wa barabara ukitaka wafanye kwa vipande utakuwa umewapa kazi isiyotekelezeka kwasababu
itabidi barabara ifungwe ukizingatia kwamba hakunanafasi ya kuwek barabara za mada (diversions)*nnyumba zilizo kando hazijatolewa wala nguzo za umeme pia bado zipo.mkuu pia umezionea huruma njia za maji zikibomolewa na matofali yakiharibiwa,kwa ufahamu wangu mradi huu ni wa kujenga barabara mpya siyo kukarabati na kutumia material za zamani mie siotaona ajabu daraja la manzese likipigwa chini na kubadilishwa umbile lake kuwa kifusi na chuma zake kupimwa kwenye scrapes huo ndiyo ujenzi.
 
Mimi ni muhandisi lakini namsuport mtoa mada kwa asilimia zote na wala si kwa uhandisi wangu, just common sense!
moja, hatuna master plan ya barabara inayofocus au kuproject future needs. Kama ingekuwepo sidhani kama leo hawa strabag wangebomoa mazege ya barabara yenye umri wa miaka around thelathini. Ilitakiwa wamingle na kuongeza tu na si kama huu uharibifu tunaoushuhudia. je umejiuliza future needs say in twenty yrs za moro road ni zipi? na je ziko accomodated kwenye mradi huu? ni swali tu tanroads watakuwa na majibu.

pili, ndo nini kutusababishia foleni toka samora mpaka kimara? si wangefanya kwa piecemills? hawajui kama huko posta ndo CBD yetu tunakoenda kuchuuza ili tupate hela ya kulipa?

Sina mashaka na hii kampuni in terms of vifaa, tech nk ila kufanya kazi kwa vipande hupunguza faida na siyo kuleta hasara, mambo ya economies of scale si kila mtu anayajua? kwahiyo consultant ndo zoba.
 
Kwa vifaa wanavyo tumia hawa jamaa nimewanyoshea mikono wapo vizuri
 
habari wana jamvi,kw wale wakazi wa Dar watumiayo morogoro road polen kwa foleni.
Nimeguswa kuandika hoja hii kutokana na yale niyaonayo kwa macho yangu.
kwanza, matumizi ya malighafi.pita uone jinsi zege lilivyotupwa,jinsi matofali yalivyo vunjwa bila tija.uthibitisho upo kipande cha kimar ubungo..
pili,nikuto fanya kazi kwa mipango.fikiria walivyo anza kwa bwebwe pale kmara had ubungo lakin sasa hata reflector huon na sasa wmeenda chimbua magomeni.kwa nini msimalize sehemu moja ndipo mwende kwingine?

nihayo tu

mkuu unataka wajenge kipande kimoja hadi kiishe ndio wakatindue sehemu nyingine,kwani umeambiwa barbara ni nyumba ndio mpaka umalize rinta ufunge kozi ya mwisho ndio ugonge bati?
 
Kama hao jamaa ni bure wangefika hapo walipofika ?
Mkuu sijui kama tunaelewana!nilishaandika hapo juu kwamba ni kweli hii ni kampuni kubwa tena kubwa saana,lakini tatizo ni watendaji wakuu ni akina nani,STRABAG ndo contractor mwenyewe lakini kuna ma-subcontractor kama wahindi,wako wengi wamejazana pale,wanalipua kazi na kwa bahati mbaya consultancy yenyewe ya hawa SMEC sio nzuri.STRABAG ni kampuni kubwa lakini kinachoenda kuwatokea ni jina lao kuchafuliwa,watu wanafanya road bed preparation hata kama sehemu ina 'soft bed' watu wanachapa lapa na kuanza filling of other classified sub-base layers!wapi na wapi!
 
Mie nilikuwa napita lakini mkanikumbusha KONOIKE, JAPAN, MAGUFULI na ujengaji upya wa Kilwa Road.
 
Hata Arusha tuli walalamikia sana wachina kwanini wameffunga na kuchimba barabara zaidi ya nne kwa wakati mmoja ikiwa ndo tegemezi za kukwepa foleni,ila dah hawajamaa cjatemea zimekuja kufunguliwa hattukutemea zinetusaidia sana kwa sasa,na waakati huo wanaendela na zingine,so msilalamike ndugu zangu .

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu sijui kama tunaelewana!nilishaandika hapo juu kwamba ni kweli hii ni kampuni kubwa tena kubwa saana,lakini tatizo ni watendaji wakuu ni akina nani,STRABAG ndo contractor mwenyewe lakini kuna ma-subcontractor kama wahindi,wako wengi wamejazana pale,wanalipua kazi na kwa bahati mbaya consultancy yenyewe ya hawa SMEC sio nzuri.STRABAG ni kampuni kubwa lakini kinachoenda kuwatokea ni jina lao kuchafuliwa,watu wanafanya road bed preparation hata kama sehemu ina 'soft bed' watu wanachapa lapa na kuanza filling of other classified sub-base layers!wapi na wapi!

Ila kuna siku mkuu nilishawahi waona wazungu hapo I don't think kama strabarg kama hawajaja lazima watakuwa hata wametuma wawakilishi wao
 
jamaa aiambie serikali yake ibomoe nyumba za watu kwanza ndio ije kuilaumu strabag....kumbuka magufuri alishaamrisha zibomolewe bila fidia pinda akampinga....madhar yake haya hapa....hawawezi kujenga barabra juu ya nyumba za watu!
 
Ila kuna siku mkuu nilishawahi waona wazungu hapo I don't think kama strabarg kama hawajaja lazima watakuwa hata wametuma wawakilishi wao
We shiada yk ni wazungu ama ujenzi? Mbona wabongo vichwa vigumu sana wakati mwingine.


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Kwa vifaa wanavyo tumia hawa jamaa nimewanyoshea mikono wapo vizuri

Naona pia wamepewa tender ya kujenga barabara toka Korogwe hadi Mombo mpaka mbelee karibu na Hedaru.

Inaonekana ni kampuni kubwa.
 
Mambo mengine yanafanywa kitaalamu, so sio kila kitu unaweza kuchangia!
STRABAG ni kampuni kubwa ya kimataifa, na hata kazi zao ukiangalia ni za uhakika.
 
ulishawai kutumia barabara zao au unafata mkumbo tu???ngojea wamalize kazi ndio utoe maoni yako.

Naona huyu jamaa huwa anahadithiwa tu kwamba kuna STRABAG!

Wale jamaa wako kamili! Kaangalie barabara waliyojengwa kutokea Ushirombo kwenda Rusumo wewe utawakubaliwa tu!! Watu mmezoea barabara za kichina hata mwaka haujaisha ilishabomoka kama ilijengwa kwa matope!
 
Back
Top Bottom