Mie cjamuelewa Mbowe kwenye kipengere cha ubadilishwaji wa matumizi, inamaana yeye anapinga hata ununuzi wa madawati na upanuzi wa barabara kwakutunia pesa walizopitisha bunge lililopita kwa mambo yakipuuzi? Je hizo sherehe zilikuwa na na natija yoyote kwa maskini?
Lakini, mie binafsi cjaona nafasi ya hao Haki za binadamu katka kutetea haki za wanyonge zaidi ya kujiingiza ktk siasa. Wajisahihishe na wao na nyumbu wote muwe na msimamo sio kupinga wizi na kutetea wizi.
Je alichokifanya kinakubalika kwa mjibu wa sheria? Wanasheria mtusaidie coz wimbi la ukandamizaji wa vyombo vya habari na waandishi kila mara tz linachukua sura mpya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.