Acha kulia lia kaza ww wenzako walikaa miezi sita hakuna pesa ya kujikimu wala mshahara walikua wanakopeshwa laki moja we wiki nne ushakuja jf halafu jitahid uwe msiri serikali ni kama baba ako sasa baba ako akifanya kosa unaenda tangaza nje
Wanaowatetea hawa vibaka wengi ukiwaangalia ni watu waliokata tamaa,hawajishughulishi wana wivu na mafanikio ya wengine hawa wezi ilitakiwa hiki kizazi kitokomezwe chote ni mbegu chafu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.