Recent content by Nkulu wa nchito

  1. Nkulu wa nchito

    CCM tumefika mwisho wa kufikiri, tuwape nchi Wapinzani

    Nchi yetu ina wapinzani au vibaka tu
  2. Nkulu wa nchito

    Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

    Allah awasaidie warudi salama waungane na familia zao
  3. Nkulu wa nchito

    Tatizo la kukosa usingizi

    Una uoga ondoa huo uoga hali ya uoga inakukuta unapotaka kulala au ikifika jioni unawaza kukosa usingizi pia ondoa hyo hali ya ww hadi unywe pombe ndyo upate usingiz kikate kabisa hicho kitu
  4. Nkulu wa nchito

    Walimu msikubali kuingia kwenye mtego huu wa wanasiasa

    @Mpwayungu Village tusikie neno lako kiongozi
  5. Nkulu wa nchito

    Sakata la Bandari: Tunafungua Shauri Mahakama Kuu kwa Hati ya Dharura

    Mnajisumbua mwacheni mama aupige mwingi mpaka umwagike
  6. Nkulu wa nchito

    Naombeni ushauri nahisi kuchanganyikiwa

    Usikate tamaa una nafasi nyingine
  7. Nkulu wa nchito

    Leo ndiyo nimekubali kwamba kikulacho ki nguoni mwako

    Ilitakiwa ajue kuwa umesikia maneno yake angeumia sana
  8. Nkulu wa nchito

    Rais Samia amefanya kila Mtanzania kuwa na Matumaini ya kutimiza Ndoto zake

    Mimi ni mmojawapo yaan toka aingie madarakani Rais wangu Samia nina furaha sana tofauti na miaka iliyopita na mwaka huu ndyo kazid kunipa furaha sana namuombea afya njema
  9. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kumekucha na makucha yake
  10. Nkulu wa nchito

    Vijana msioe muinjoi maisha huku Ndoani kuna vimambo mambo vya Ajabu sana

    Mi neno langu lingekua sheria ningesema vijana wote ambao wamefikia umri wa kuoa waoe maana asilimia kubwa ya vijana ambao hawajaoa wana hatari nyingi halafu akili zao zinakua waluwalu
  11. Nkulu wa nchito

    Update: Muuguzi mlevi aliyetuhumiwa kumbaka mjamzito wodini aachiwa huru

    Dah pole yake mwamba alikua anafanya kazi UMATI Morogoro aliachishwa kazi kisa huo huo ulevi jaman pombe wengine hazitupend mi nilishaacha
Back
Top Bottom