Recent content by Nkulu wa nchito

  1. Nkulu wa nchito

    CHADEMA acheni mara moja kuchangisha watu wakati tayari ACT wameshasema watagharamia msiba wa Hayati Bwege

    Waliiba michango ya mwenyekiti sasa michango ya bwege hawatafikisha siku hizi hawapati fedha za ruzuku
  2. Nkulu wa nchito

    KERO Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe hatujapata fedha za kujikimu na Viongozi wapo kimya

    Acha kulia lia kaza ww wenzako walikaa miezi sita hakuna pesa ya kujikimu wala mshahara walikua wanakopeshwa laki moja we wiki nne ushakuja jf halafu jitahid uwe msiri serikali ni kama baba ako sasa baba ako akifanya kosa unaenda tangaza nje
  3. Nkulu wa nchito

    Nimemtumia nauli, sijui atakuja?

    Paka kabisa mcongo kama unao atakuja
  4. Nkulu wa nchito

    Unaomba namba road alafu ukirudi home ukitulia unaonabora niifute tu mambo yakujiongezea bajeti ni ufala

    Wengine mademu tunaotongoza ni quality hatutongozi asubuh halafu jioni tunasex
  5. Nkulu wa nchito

    Taifa la Ovyo namna hii!

    Siku hizi mmeacha kubeti mipira huko kanji anawanyoosha mmeanza kubeti vifo vya viongozi wenu
  6. Nkulu wa nchito

    TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

    Hivi hao chadema si ndiyo kuna wengine walikula michango ya Lisu
  7. Nkulu wa nchito

    Wote wanaolalamikia serikali kuhusu Oktoba 29 hao wakamatwe. Ndio waliowatuma vijana kufanya uasi na uharibifu wa mali za umma

    Wanaowatetea hawa vibaka wengi ukiwaangalia ni watu waliokata tamaa,hawajishughulishi wana wivu na mafanikio ya wengine hawa wezi ilitakiwa hiki kizazi kitokomezwe chote ni mbegu chafu
Back
Top Bottom