Kwani hiyo sheria alitunga baba ako au huyo aliyehukumu hiyo sheria ipo kwenye mafaili sasa usifikiri tu huyo jaji anajiamulia tu ahukumu miaka mingapi
Mnapata wapi muda wa kupigana picha za uchi nyie wenyewe ndyo mnadinyana mnapopiga picha inamaana mnataka na sisi tuone mi naisubiri kuna wale wanasema ukitaka connection tuma hela mi nitanunua nione utupu wako
Acha kulia lia kaza tena kama ww ni mwanaume kaza sana mbona walimu hawapati posho ya pango manesi hivyo hivyo tena angalau nyie mnapata vijihela mkikamata wavuta bangi kuna siku tulikamatwa kwa kosa la uzururaji tulivyofika polisi tukaambiwa tuachiwe tutoe 40000 tukatoa na tukapewa na bangi...
Msimu huu yanga itafungwa goli nyingi hata kama inashinda lkn na wao lazima waruhusu goli moja ya sababu ni mwamnyeto lakini inawezekana labda shida ipo kwenye no 6 ndyo maana mwamnyeto anafanya makosa mbona Baka hazingui sana.Bora Dickson job apone
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.