Recent content by Nkulu wa nchito

  1. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    RIP
  2. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Video: Afisa wa Yanga ataka kuzichapa na mtu aliyemtuhumu kurekodi mazoezi ya Klabu hiyo, bila ruhusa

    Habari bila video ni ushakunaku
  3. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Ww mvuta bangi na wenzio hamna akili mkishavuta bangi kijiweni huko mnafundishana ujinga hiyo miaka 30 haitoshi
  4. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Nchi ina Mahakimu wapuuzi, Wajinga walokoswa Hekima na Busara. Unamfungaje Mtu Miaka 30 Jela, kisa Bangi Gramu 56?

    Kwani hiyo sheria alitunga baba ako au huyo aliyehukumu hiyo sheria ipo kwenye mafaili sasa usifikiri tu huyo jaji anajiamulia tu ahukumu miaka mingapi
  5. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Mnapata wapi muda wa kupigana picha za uchi nyie wenyewe ndyo mnadinyana mnapopiga picha inamaana mnataka na sisi tuone mi naisubiri kuna wale wanasema ukitaka connection tuma hela mi nitanunua nione utupu wako
  6. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Acha kulia lia kaza tena kama ww ni mwanaume kaza sana mbona walimu hawapati posho ya pango manesi hivyo hivyo tena angalau nyie mnapata vijihela mkikamata wavuta bangi kuna siku tulikamatwa kwa kosa la uzururaji tulivyofika polisi tukaambiwa tuachiwe tutoe 40000 tukatoa na tukapewa na bangi...
  7. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Mi hapa kwenye usaliti sijui hata nitoe ushauri gn mambo magumu sana
  8. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Mudathir jitafakari bro, umekua slow sana hii ni Yanga

    Msimu huu yanga itafungwa goli nyingi hata kama inashinda lkn na wao lazima waruhusu goli moja ya sababu ni mwamnyeto lakini inawezekana labda shida ipo kwenye no 6 ndyo maana mwamnyeto anafanya makosa mbona Baka hazingui sana.Bora Dickson job apone
  9. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Aishi Manula alikuwa kipa mzuri sana. Kipaji chake kimeuliwa kabisa

    Jitahidi kuficha aibu ndogo ndogo kama hizi
  10. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Inamaana huoni hao jamaa wana nini hapo
  11. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Itakua we mwenyewe sikia kiongozi hiyo nyumba iache wataishi wanao
  12. Nkulu wa nchito

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar ni washamba

    Washamba sana eti barabara kubwa inafungwa kwa sababu kuna sherehe maturubai yanafungwa barabarani gari halipiti kwa sababu eti mtu fulani ana sherehe
Back
Top Bottom