Una uoga ondoa huo uoga hali ya uoga inakukuta unapotaka kulala au ikifika jioni unawaza kukosa usingizi pia ondoa hyo hali ya ww hadi unywe pombe ndyo upate usingiz kikate kabisa hicho kitu
Mimi ni mmojawapo yaan toka aingie madarakani Rais wangu Samia nina furaha sana tofauti na miaka iliyopita na mwaka huu ndyo kazid kunipa furaha sana namuombea afya njema
Mi neno langu lingekua sheria ningesema vijana wote ambao wamefikia umri wa kuoa waoe maana asilimia kubwa ya vijana ambao hawajaoa wana hatari nyingi halafu akili zao zinakua waluwalu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.