Unaendaje kulima kwenye shamba la mtu ambaye amelima na Kuna mazao anayalinda anasubiri kuvuna
Aki ya nani ukimpata oa lkn jiandae Kwa lolote kama unaweza muhamishe nchi mtokomee huko
Anapaswa kuwa na Imani ya MUUMBA wako wakitaka kukuua wanatangulia wao
Siyo guest tu hata nyumba za kupanga, hata chakula, hata nyumbani kwako cha msingi uwe na Imani na uwezo wa kuwasiliana na MUUMBA wako
Wewe nenda Kwa baba yake apange mahali ndiyo mnegoshieti kama utashindwa basi mwambie nimenawa mikono Sina hiyo Hela. Binti anakamia Kwa kuwa ashakujua wewe ni bahiri hivyo anataka cha juu chake na yeye ndiye atakayewasuka
Mahali Huwa ni kitu kilichondani ya uwezo wa muoaji, harafu wakitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.