Recent content by Nkolandoto

  1. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Mimba imenifanya nichukie kuoga

    Wewe ni bonge la mvivu na mchafu Hiyo ndiyo tabia yako usimsingizie malaika huyo hana dhambi wala nn
  2. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Dawa ya jino gharama mia tano imeniponesha

    Kwa hiyo mwaka mmoja na nusu unatumia sabuni ya shs 500 tu Ila umekuwa motivation speaker?
  3. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Mke awaunga kwenye Group moja michepuko 7 wa mume wake

    Kama anaweza kuchepuka na saba kupata mwingine ni kugusa tu Amwache tu huyo mke na asimtafute atafute mwingine aoe kbs
  4. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Butiku: CHADEMA wanafadhiliwa wala sio siri

    Hakuna chama ambacho hakifadhiriwi
  5. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Maisha Bila Mazoezi: Mnakabiliana Vipi na Stress?

    Utakuwa hujui chochote mkubwa 🤣🤣🤣
  6. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania HOJA Hoja kuhusu Muundo wa Uwanja wa Arusha Stadium

    Umeshasahau matamasha ya viwanja vyetu 🤣🤣🤣🤣🤣 Hapo wanatega watu wa matamasha
  7. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania CCM ikitoka madarakani Simba na Azam ndio zitakuwa timu kubwa na watani wajadi Tanzania

    Yanga ilikuwepo kabla ya ccm na itaendelea kuwepo ccm isipokuwepo
  8. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania CCM ikitoka madarakani Simba na Azam ndio zitakuwa timu kubwa na watani wajadi Tanzania

    Mtalia kila siku wimbo mpya mpaka mkazoe mafi yenu
  9. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Nimeoa Mrangi

    Hahaha hujawahi wewe kujua watu wanapretend Kuna dada mmoja alinigomea nimemtoa hadi out 🤣 na kesho yake niko nasafiri nilipofika home nikarequest mwingine akanipanga daa 4 uck mara ujumbe toka kwa yule niliyemtoa out akagoma kutoa mzingo anasema anakuja saa 4 uck kuniletea zawadi yangu 🤣🤣🤣...
  10. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Sababu 6 kwanini wanawake/wake za watu hutoka nje na kufanya mapenzi na wanaume wengine

    Sijajua huyu jamaa anamanisha nini Kifupi mwanamke anadu kwa sababu Hawezi kufanya pasipo sababu na hakunaga shetani wala kupitiwa Mwanamke kudu hata kama ameolewa lzm awe na sababu, na sababu ni yake tu 🤣 Na hata ukitaka kuifahamu zaidi hainaga mantiki kabisa
  11. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu hanipi muda lakini yupo online muda wote

    Jina tu la halima ni wabinafsi sana wanapenda husto za kijinga sana, wanajiona wao ni malaika full kuwalaumu wenzao ila wao wanajiona wako sawa Wewe si umekosa attention njoo kwangu Nikugalagaze kiherehere kiishe
Back
Top Bottom