Recent content by Nkolandoto

  1. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimegundua mpenzi wangu akiwa na marafiki zake, huwa ananiita mimi kimburu

    Kimburu ni mvizia kuku mnyama anaiba kuku na kuwatafuna inaonekana na wewe ni kicheche . Kisukuma kimburu ni kicheche
  2. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nifanyeje nirudie mwili wangu wa awali? Nimenenepa

    Pima uzito wako, urefu wako, size ya nguo ulokuwa ukivaa pindi Bado hujanenepa na Sasa . Taarifa ya vyakula vyako Kwa siku niletee pm usaidike
  3. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa kumchinja mtoto wa mwajiri wake

    Hawaa wakuawafanya kuwa nyumba ndogo tu ili wasilete kharaha
  4. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naona vijana wengi sikuizi wanaogopa kuoa wanawake single mothers, nani kawatisha?

    Unaendaje kulima kwenye shamba la mtu ambaye amelima na Kuna mazao anayalinda anasubiri kuvuna Aki ya nani ukimpata oa lkn jiandae Kwa lolote kama unaweza muhamishe nchi mtokomee huko
  5. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

    Hivi hebu tofautisha maziwa , matiti, chuchu na nyonyo
  6. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

    Bichwa uchwara
  7. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika mahusiano na urafiki hata hapa JF kuna list ya watu wanarandana

    Kwa kuwa nilako au siyo
  8. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuoa Msukuma, chakula Chao cha asili nini nijiandae?

    Ulekadakama ubhebhe Kache nkele
  9. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuoa Msukuma, chakula Chao cha asili nini nijiandae?

    Ila na kitandani mashallah tumejaliwa wewe ulikosea walipaswa wale hafu wale tena 😂 yaaa bhakema!
  10. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuoa Msukuma, chakula Chao cha asili nini nijiandae?

    Bhagosha hiiiiii Umetuonea sana kwakweli
  11. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukienda kwenye guest au lodge yoyote usilale bila kuomba

    Anapaswa kuwa na Imani ya MUUMBA wako wakitaka kukuua wanatangulia wao Siyo guest tu hata nyumba za kupanga, hata chakula, hata nyumbani kwako cha msingi uwe na Imani na uwezo wa kuwasiliana na MUUMBA wako
  12. Nkolandoto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananiambia nijipange, kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

    Wewe nenda Kwa baba yake apange mahali ndiyo mnegoshieti kama utashindwa basi mwambie nimenawa mikono Sina hiyo Hela. Binti anakamia Kwa kuwa ashakujua wewe ni bahiri hivyo anataka cha juu chake na yeye ndiye atakayewasuka Mahali Huwa ni kitu kilichondani ya uwezo wa muoaji, harafu wakitaka...
  13. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Wadau tujadili hapa kidogo

    Unaanza kuoga miguu.........
  14. Nkolandoto

    JamiiForums Tanzania Delivery report On Iphone

    Hahaha 🤣 ungekuwa chizi ningesema lkn naogopa
Back
Top Bottom