Hahaha hujawahi wewe kujua watu wanapretend
Kuna dada mmoja alinigomea nimemtoa hadi out 🤣 na kesho yake niko nasafiri nilipofika home nikarequest mwingine akanipanga daa 4 uck mara ujumbe toka kwa yule niliyemtoa out akagoma kutoa mzingo anasema anakuja saa 4 uck kuniletea zawadi yangu 🤣🤣🤣...
Sijajua huyu jamaa anamanisha nini
Kifupi mwanamke anadu kwa sababu
Hawezi kufanya pasipo sababu na hakunaga shetani wala kupitiwa
Mwanamke kudu hata kama ameolewa lzm awe na sababu, na sababu ni yake tu 🤣
Na hata ukitaka kuifahamu zaidi hainaga mantiki kabisa
Jina tu la halima ni wabinafsi sana wanapenda husto za kijinga sana, wanajiona wao ni malaika full kuwalaumu wenzao ila wao wanajiona wako sawa
Wewe si umekosa attention njoo kwangu
Nikugalagaze kiherehere kiishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.