Recent content by Nkolandoto

  1. Nkolandoto

    Nimegundua mpenzi wangu akiwa na marafiki zake, huwa ananiita mimi kimburu

    Kimburu ni mvizia kuku mnyama anaiba kuku na kuwatafuna inaonekana na wewe ni kicheche . Kisukuma kimburu ni kicheche
  2. Nkolandoto

    Naomba ushauri: Nifanyeje nirudie mwili wangu wa awali? Nimenenepa

    Pima uzito wako, urefu wako, size ya nguo ulokuwa ukivaa pindi Bado hujanenepa na Sasa . Taarifa ya vyakula vyako Kwa siku niletee pm usaidike
  3. Nkolandoto

    Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa kumchinja mtoto wa mwajiri wake

    Hawaa wakuawafanya kuwa nyumba ndogo tu ili wasilete kharaha
  4. Nkolandoto

    Naona vijana wengi sikuizi wanaogopa kuoa wanawake single mothers, nani kawatisha?

    Unaendaje kulima kwenye shamba la mtu ambaye amelima na Kuna mazao anayalinda anasubiri kuvuna Aki ya nani ukimpata oa lkn jiandae Kwa lolote kama unaweza muhamishe nchi mtokomee huko
  5. Nkolandoto

    Kwanini wanaume wanapenda kuangalia maziwa?

    Hivi hebu tofautisha maziwa , matiti, chuchu na nyonyo
  6. Nkolandoto

    Nataka kuoa Msukuma, chakula Chao cha asili nini nijiandae?

    Ila na kitandani mashallah tumejaliwa wewe ulikosea walipaswa wale hafu wale tena 😂 yaaa bhakema!
  7. Nkolandoto

    Nataka kuoa Msukuma, chakula Chao cha asili nini nijiandae?

    Bhagosha hiiiiii Umetuonea sana kwakweli
  8. Nkolandoto

    Ukienda kwenye guest au lodge yoyote usilale bila kuomba

    Anapaswa kuwa na Imani ya MUUMBA wako wakitaka kukuua wanatangulia wao Siyo guest tu hata nyumba za kupanga, hata chakula, hata nyumbani kwako cha msingi uwe na Imani na uwezo wa kuwasiliana na MUUMBA wako
  9. Nkolandoto

    Ananiambia nijipange, kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

    Wewe nenda Kwa baba yake apange mahali ndiyo mnegoshieti kama utashindwa basi mwambie nimenawa mikono Sina hiyo Hela. Binti anakamia Kwa kuwa ashakujua wewe ni bahiri hivyo anataka cha juu chake na yeye ndiye atakayewasuka Mahali Huwa ni kitu kilichondani ya uwezo wa muoaji, harafu wakitaka...
  10. Nkolandoto

    Wadau tujadili hapa kidogo

    Unaanza kuoga miguu.........
  11. Nkolandoto

    Delivery report On Iphone

    Hahaha 🤣 ungekuwa chizi ningesema lkn naogopa
Back
Top Bottom