Recent content by Nkhondeya

  1. N

    Haiti ni kielelezo cha ujinga wa Mwafrika

    Ngoja nifikirie
  2. N

    Wanaume wa kuoa wameshaisha waliobakia ni makinikia

    Wanatakiwa kukutana Na smelter za nguvu hao
  3. N

    Rais Magufuli, CDF mpelekeni Tundu Lissu mahakama ya kijeshi - court Marshall

    We we nahisi si Raia Wa Tanzania, rudi ulikotoka hutufai humu Na haraka futa upuuzi wako huu. Nyambaf
  4. N

    Tundu Lissu: Madini mengine ya Tanzania si yetu Kisheria

    Lisu alishatoa zamani sana nini kifanyike, labda ulikuwa hujazaliwa
  5. N

    Tetemeko kubwa laikumba Yanga, timu kwenda Zambia kwa treni

    Ahaha hahaaa wakimataifa hawapandagi treni wewe, kwan ATCL haiendi Zambia?
  6. N

    Dk. Possi: Nimejiuzulu

    Kwa nini Dr. Posssi anasema kuwa yeye hana uroho wa madaraka? Anajua fika kuwa bila kufanya alichokifanya angemuweka Mtukufu kwenye mzozo wa kikatiba? Nani asiyejua? Basi kwa nini asijiuzulu kwanza then uteuzi uchukue nafasi yake? Sisi si wajinga kabisa tena tusitaniane ohooooo. Kumbukeni...
  7. N

    Hivi VAT huwa inakatwa kwenye mauzo au kwenye faida?

    Kwa kifupi uza bidhaa kwa Tzs 100,000/- hiyo ni pamoja na faida yako, then add 18% VAT jumla yake mtoze mlaji.
  8. N

    Taarifa za kuonekana kwa Ben, na hekaya za "kikaratasi" ofisi za MwanaHALISI

    Episode #2....... tunaendelea kuangalia [emoji848]
  9. N

    Polisi yatoa tamko juu ya miili saba ya Ruvu na kupotea kwa Ben Saanane

    Kuna mtu alisema kuwa wale ni magaidi..........., duh[emoji15] ngachoka kabisaaa mie.......
  10. N

    Kizaa zaa kitaanza wananchi watapomaliza kula akiba!

    Kwani serikali zote zilizokutana na kadhia hawkufanya utafiti? Wacha ujinga wewe
Back
Top Bottom