mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Hahahhahahahhaha Haina hajaUmeona eh? Itabidi nibadili jina nijiite papaafacebook II.
Cc. Invizibo.
Hahahhahahahhaha Haina hajaUmeona eh? Itabidi nibadili jina nijiite papaafacebook II.
Cc. Invizibo.
NikimbizeSasa mbona unakimbia? Njia imefungwa huko.
Mi pia kuna Dada Nina malengo naye ni mzuri Nina mwaka nae sasa sijaonja naniii yake
au ndio huyu ninaeMGEGEDUA mimiMi pia kuna Dada Nina malengo naye ni mzuri Nina mwaka nae sasa sijaonja naniii yake
Anzisha uzi wako mkuuTangazo :natafuta mchumba humu ndani ajage kuwaga mke wangu. mwenye uhitaji WA kupendwa NAFASI ZIPO pm
Mungu akufanyie wepesi mkuuNakumbuka nilikua naumwa macho siku flani miwani yangu iliisha nguvu
nikatoka ofisini mpaka pale NHC house kumuona mtaalamu wa macho maana nilisikia sifa za uzuri wa flem zao
Kufika pale Dr mwenyewe ndio huyu mpenzi wangu back then tulisoma wote primary sio siri nilimpenda ghafla ilichukua muda ila nashukuru alinielewa
Nataraji kumuoa mwakani mwezi wa 4
Mungu akufanyie wepesiMi pia kuna Dada Nina malengo naye ni mzuri Nina mwaka nae sasa sijaonja naniii yake