Ulimpataje umpendae?

Nakumbuka nilikua naumwa macho siku flani miwani yangu iliisha nguvu

nikatoka ofisini mpaka pale NHC house kumuona mtaalamu wa macho maana nilisikia sifa za uzuri wa flem zao

Kufika pale Dr mwenyewe ndio huyu mpenzi wangu back then tulisoma wote primary sio siri nilimpenda ghafla ilichukua muda ila nashukuru alinielewa

Nataraji kumuoa mwakani mwezi wa 4
 
Nakumbuka nilikua naumwa macho siku flani miwani yangu iliisha nguvu

nikatoka ofisini mpaka pale NHC house kumuona mtaalamu wa macho maana nilisikia sifa za uzuri wa flem zao

Kufika pale Dr mwenyewe ndio huyu mpenzi wangu back then tulisoma wote primary sio siri nilimpenda ghafla ilichukua muda ila nashukuru alinielewa

Nataraji kumuoa mwakani mwezi wa 4
Mungu akufanyie wepesi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom