Recent content by nkhome

  1. N

    Jamani huu ualimu mbona karaha namna hii?

    Ushauri mzuri sana! Ila.walimu punguzeni majungu kazini! Acheni ulafi wa madaraka, madaraka hayaji kwa majungu! Hiyo ndo shida alonayo.huyu mleta uzi!
  2. N

    Samsung galaxy s5 kwa 475,000Tsh

    Upo wapi boss?
  3. N

    Magufuli akitaka kufanikiwa aondoe System yote ya JK

    Ndo yy, mzee wa kujikomba!
  4. N

    Huwa napagawa sana nikiona wameyachomeka kwny ch*pi au taiti

    Very ineresting! Generali wewe ni shida!
  5. N

    Crazy things you did in secondary school

    Hahahaaaaa, ikawaje sasa!? Hukupoke kichapo?
  6. N

    Nani ungependa apate Ubunge kwa tiketi ya rais? Toa sababu

    Huyu ni mzuri kwa kuzungumza tu, hana lolote! Ni mmojawapo wa mawaziri mizigo alikua!
  7. N

    Jiji limezizima

    Acha ubishi bro! Watu nyomi si kawaida, af wanatupiga mabomu hivi navoongea!
  8. N

    Lowassa kustaafu siasa

    Muogope Mungu kijana, hizi ni siasa tu!
  9. N

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    Hawakuwa watoto wale, ni watu wazima wale, mimi niliwaona live maeneo ya barabara ya saba!
  10. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Pangani nije Dodoma manispaa, idara ya sekondari! 0676449266
  11. N

    Elimu ya Bure ya Lowassa ni Kiini Macho

    Inawezekana sana! Yasiponunuliwa mashangingi, wizi kwenye mikataba, uwiano ktk mishahara na posho ktk wizara zote, kuziba mianya ya rushwa na kuwa wazalendo! Pesa ya kutosha ipo sana!
  12. N

    Utendaji wa Magufuli wazidi kuitikisa kambi ya upinzani

    Tunataka kiongozi siyo meneja! Lowassa ni Kiongozi na Makufuli ni ......!
Back
Top Bottom