Duh! Hizi propaganda za kitoto sana. Yaani watu utaweza kuwaondoa ndani ya dakika tano? Hapo umechemka mkuu. Jipange upya
Wamepigwa hawa. Wanaona Magufuli anachanja mbuga wao wanabaki na umbea tu
Mwaka wenu!! vituko mpunguze HAPA KAZI TUViva ukawa viva. Mwaka wetu huu.Watahema kama punda kyanan mwaka huu.Viva ukawa viva
Hizo nindoto za mchana kijana, HAPA KAZI TUteh teh this is seriouz jaman UKAWA punguzeni sifa kidogo mtaua watu kwa preshaVIVA UKAWA!!!
Ulitegemea maamuzi ya nyumbu yawe tofauti! HAPA KAZI TUUlikuwa haujui!? Wezako tushafanya maamuzi ni UKAWA tu hata kama angesimama Bambo nafasi ya uraisi.
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.
Acha siasa za uchochesi we mse....nge kama unafi....RWA kafi.....rwe kivyako kikwete aliekuwa muisilam kakuletea hiyo mahakama ya kadhi au unatoa uha....ro tuu mku...nduni mbwa wewe
Chonde chonde waislamu wezangu tukimchanguwa lowassa tutakandamizwa mahana kwamba lowassa rafiki yake gwajima.na hinafahamika gwajima atupendi kwa sababu alishawai kumsemea mbovu kadinali pengo baada ya kukubali mahakama ya kadhi.