Elimu ya Bure ya Lowassa ni Kiini Macho

Elimu ya Bure ya Lowassa ni Kiini Macho

Hii issue ya elimu bure kwa vyuo vikuu ni dhana ya wajerumani na lengo lao ni kivutia wasomi kitoka nje ambao wanaleta fedha za kogeni.

UKAWA wanacopy na kupaste tu bila analysis!

Elimu bure afya bure huku ukitegemea wahisani ni upuuzi na sio mabadiliko.

Ukawa inategemea wahisani ili kuendesha nchi ipi?ccm ndo matonya.
 
Wala msijihangaishe kubishana na ukiwa, hatuwapi nchi.

Muuaji wa Home shopping center siku hizi ndiye anayeamua nchi ampe nani? Na bado kuna yule raia asiye na hatia aliyepigwa risasi pale Kariakoo, hatujasahau hata kama utawala wa sasa unawawekea ngao!
 
sio rahisi kiivo unavoongea ndugu, nchi matajiri duniani na wenye mipango iliyoenda shule mara milioni 100 ya kilaza wa sanaa fisadi lowasa hawatoi elimu bure mpaka chuo kikuuu!!!!. Kwa hiyo hii inadhiirisha mgombea wa ukawa fisadi lowasa ni wa kuogopwa kama ukoma maana hana dhamira safi na maendeleo endelevu ya nchi yetu Tanzania
Umezaliwa kijijini ukaletwa Dar, mambo ya duania utayajulia wapi? Tupo wengi tuliosoma nje ya Tanzania vyuo vikuu bure!
 
... Inapangwaje??

Your brain is too crapy to understand! Sorry! Kama umeweza kuamini kuwa ni mpaka uwe na fedha cash ndio unapanga mipango na bajeti ya nchi sitaweza kukuelewesha. Rudi kwanza secondary school ukamalizane na mafundisho ya huko
 
Hata kama ni kuichoka ccm ndio kunatufanya hata tushindwe kufikiri au ndo kila tunaloambiwa ndio mzee kana kwamba sisi hatuna ubongo wa kufikiri.
 
unazungumzia 6% ya bajeti ya bajeti ya ccm. Unapaswa kufahamu kuwa katika vyuo vya serekali hapatakuwa na fedha ya pango wala kulipa walimu. Katika vyuo binafsi wakufunzi watakuwa wa serekali watalipwa na serekali hivyo serekali itawapatia wanafunzi chakula kwa kupika hapo chuoni. Vyuo vitakavlipwa feza ya kula ni vile vikubwa s ekenford
 
Hata kama ni kuichoka ccm ndio kunatufanya hata tushindwe kufikiri au ndo kila tunaloambiwa ndio mzee kana kwamba sisi hatuna ubongo wa kufikiri.

tatizo lako umetekwa na mipango na sera za ccm zisizotekelezeka..
 
uk na usa , hakuna shule ya bure. Nchi za Scandinavia gharama za chuo zinachangiwa na serikali na penyewe bado kuna baadhi ya gharama inabidi mwanafunzi agharimie. Kwa hiyo ukweli upo palepale Lowasa fisadi anatuona watoto wadogo na kwamba anaweza kuongea tu maneno ya uwongo na kuwa raisi

Umezaliwa kijijini ukaletwa Dar, mambo ya duania utayajulia wapi? Tupo wengi tuliosoma nje ya Tanzania vyuo vikuu bure!
 
Inawezekana sana,mfano 1.Kupunguza matumizi ya Serikali 2.Kuziba mianya ya ukwepaji wa kodi kwa wafanyabiashara wa ndani na wale wakigeni NB:Mshahara wa mwezi mmoja wa Mbunge unasomesha mwanafunzi mmoja miaka yote chuoni.
 
Inawezekana sana! Yasiponunuliwa mashangingi, wizi kwenye mikataba, uwiano ktk mishahara na posho ktk wizara zote, kuziba mianya ya rushwa na kuwa wazalendo!
Pesa ya kutosha ipo sana!
 
kwa hiyo umekubali kuwa Lowasa anadanganya ktk hili??


haa haa hakuna chama kinachoongoza kudanganya wananchi wakati wa uchaguzi kama ccm. nitatoa mifano ifuatayo: mwaka 2005 rais kikwete aliwahaidi watanzania kwamba tanzania itakuwa ni nchi ya viwanda. je leo hali ikoje? pia ni rais kikwete aliyewahaidi watanzania maisha bora kwa kila mtanzania. je yako wapi? zaidi ya marafiki na ndugu kugawiwa vyeo kama njugu? mbaya zaidi maghufuli anahaidi mambo yaleyale. hakuna jipya zaidi ya ulaghai..
 
Nipashe wakimpata Jibu kwamba msamaha tu wa kodi 2014 unatosha kulipia wanafunzi hadi chuo kikuu na chenji kubaki.Huyu wa wapi huyu?Ushabiki usikuindoe ufahamu.
 
uk na usa , hakuna shule ya bure. Nchi za Scandinavia gharama za chuo zinachangiwa na serikali na penyewe bado kuna baadhi ya gharama inabidi mwanafunzi agharimie. Kwa hiyo ukweli upo palepale Lowasa fisadi anatuona watoto wadogo na kwamba anaweza kuongea tu maneno ya uwongo na kuwa raisi

Unaongea kitu usichojua. Mimi nakuambia kitu ambacho nimefanya. Au labda mtu anaposema ''elimu bure'' wewe unaelewaje? Kwasababu tunaweza kuwa tunabishana na mtu anayefikiri elimu bure ina maana ya kila kitu bure
 
martyr2012

Nnawashukuru wadau mmempa za uso sana huyu jamaa ,pole ndugu Yangu kwa namna ccm walivyokukata moto kila zuri unaliona baya.Pole mkuu nnaona ahadi za ccm zimekuathiri kiasi.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kisichowezekana chini ya jua. re-think and act accordingly.
 
Ndugu wana JF leo gazeti la Nipashe limetoa mchanganuo wa gharama za Elimu ambazo Lowassa anasema anaweza kuzikabili na hatimaye watanzania wakasoma bure hadi chuo kikuu . Ingawa naipenda Ukawa lakini dosari hizi za wazi katika kuchanganua mambo hazipaswi ziachwe bila kutolewa tahadhari ili mgombea wetu wa Ukawa apate kuaminiwa kwa kile anachokisema.

Kiukweli upembuzi ule umeacha maswali mengi bila majibu huku nikihoji uwezo wa serikali ya Ukawa kutoa Elimu hiyo bure kwa ngazi zote za Elimu kuanzia chekechea. Gharama za Elimu ya juu pekee ni 6% ya budget ya 2014/2015. Na ukweli hizo ni fedha za kujikimu za wanafunzi 300,000 tu kwa mwanafunzi mmoja kupewa TZS 4.5m. Hapo hatujazingatia mishahara ya waalimu, tuition fees na vifaa vya kufundishia. Katika hali hii ni dhahira serikali itaelemewa na kutoa bora elimu kuliko elimu bora. Mzigo huo wa gharama ya elimu ukijumlishwa na shule za sekondari, msingi na chekechekea ni dhahiri elimu itachukua zaidi ya asilimia 20 ya budget ya nchi. Kama hii itakuwa hivyo ni dhahiri sekta nyingi muhimu zitaathirika na kupunguz a ufanisi wa serikali.

Tunahitaji majibu kutoka kwa ukawa kama kweli hii sera inaweza kutelezeka na kwa namna gani. Tusifanye masihara na hili. Lakini lazima watueleze kuhusu Tertiary Education nayo itakuwa buree au vipi?


Kwni hivi sasa hao walimu hawalipwi Mishahara?
 
Back
Top Bottom