Recent content by Nkabahati

  1. Nkabahati

    Mimba

    Inawezekana kabisa ndugu. Ninao ushahidi wa kutosha. Kisayansi, mwanamke akiwa kwenye ovulation, huwa na ute mwepesi na laini sana. Ikiwa atagusana na mwanaume ambaye haja du siku nyingi, akiachia sperm huwa zinakuwa na speed kali sana, hivyo kwa bahati zikakutana na ule ute laini, midhili ya...
  2. Nkabahati

    Mtoto kuota meno mapema

    Naomba niungane na mtoa mada kwa kuuliza, nina mtoto wa miezi tisa, ila hajaota hata jino moja, hili nalo ni kawaida?
  3. Nkabahati

    Msaada namna ya kutoa mimba bila kupata madhara kiafya

    Imagine wewe ungetolewa!!!!!! Mkuu, acha huyo kiumbe wa Mungu. Ukilima shamba, tarajia mavuno. Ndo huyo kiumbe, lea!!! Believe me, wako watu wanatafuta watoto kila kona ya dunia hii, kwa waganga, kanisani na misikitini wakiomba watoto... pleeesee!!!!don't do it.
  4. Nkabahati

    Unahitaji Moyo wa Chuma kufikia maamuzi haya .....

    Ningeomba msamaha kwa Mola kwani nisingeweza kabisaaa!!! Big up Mr Hassan. Ni wachache wanaweza kuwa na moyo kama wako.
  5. Nkabahati

    Unam-treat FAIRLY house girl wako?

    Mi nilikuwa na mdada, tulikaa naye miaka 5!! 2006 hadi 2011. Alikuwa mama discent sana, na alikuwa na watoto wawili wakubwa. Tuliruhusu kila wanae wakifunga shule tunalipa nauli wanakuja kwetu na wanakaa na mama yao. Malazi safi, mlo ndo huo huo wa familia. Wakifungua shule tuliwafanyia...
  6. Nkabahati

    Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

    Hii imejibiwa, fuatilia na soma topic iliyoandikwa `Jinsi ya kuutunza mwili kupunguza tumbo na kupunguza mafuta ` ya tarehe 9 march.
  7. Nkabahati

    Njia 7 za kuweza kumiliki tatizo la njaa soma hapa

    MMh! `Sleep and shed those pounds!' BASI MIMI NILIJUA NI KINYUME. Kaka, sijaelewa logic behind, hii ina maana mtu ambaye kalala hayo masaa machache huo muda mwingine atakuwa anadonoa msosi, au kwanini aongezeke pounds? Nini kinatokea kwe metabolism yake hadi hizo pounds ziongezeke??? kindly...
  8. Nkabahati

    Faida za kutumia vitunguu

    Asante kwa shule
  9. Nkabahati

    je unene ni afya au ugonjwa

    Sio kila unene ni ugonjwa, wala sio kila wembamba ni afya au ugonjwa. Ukweli ni kwamba kuwa mnene sana kunaweza kukuletea madhara mengi yakiwemo magonjwa ya Moyo. Ikiwa una ugojwa wa kisukari, utashauriwa kupunguza uzito kwa sababu hii ina madhara katika ufyozwaji wa sukari kutoka kwenye utumbo...
  10. Nkabahati

    Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

    Nisaidieni tena. Mtoto mdogo anatakiwa kupata choo gani? Nimekuwa nikisikia choo kinatakiwa kiwe na rangi ya njano. hii ni kwa mtoto wa umri gani? mara nyingine nimesikia choo kikiwa cha kijani huwa kuna shida tumboni! je kuna ukweli ndani yake? nina mtoto wa miezi mitano, anaenda sita sasa...
  11. Nkabahati

    kiungulia

    Habari wanajamii. Mimi huwa nasumbuliwa sana na kiungulia, nikiwa mjamzito huwa kinazidi. Nini husababisha kiungulia? na ninini dawa ya kiungulia? Naomba mnielimishe!
Back
Top Bottom