Obesity ni ugonjwa,what is obesity? Refer to BMI.
MSAADA JAMANI: Nina imani watu tunapendana na lengo la kuishi ni kwamba mwisho wa siku tufike mbinguni. MADA: Nina mchumba ambae tumedumu kwa mda mrefu na tumeazimia kuoana. Yeye ni roma mimi msabato yeye hataki kubadili dini. Je mimi nifanye nini?
Ndugu Ambitious naomba unifafanulie unaposema Obesity hupata mwnya katika hali ya kutojua. je,unamaanisha mwanya wa kwenye kinywa??