Dawa yake saiv ukijiwa na polisi kwako ni kupiga mayowe ya mwizimwizi tu wewe na familia yako maana hakuna mlinzi wa wananchi hatuna imani na polisi tena
Husika na kichwa cha habari.. Nilinunua line ya ttcl na nikawa naitumia mtandao ulikuwa unasoma vizuri lile eneo nililokuwa naishi . sasa nimehama lile eneo na huku nilipo ttcl ni majanga mtandao mda wote emergency ..nilinunua vocha kama za elfu 30 yoyote mwenye kuzihitaji aje pm
StarTimes mbona tv1 haipatikani kwanini? Natumia king'amuzi chenu cha dish pale kwenye receiver kuna sehemu ya kuweka frash lakini nikiweka sioni ikisoma wala kwenye menu sioni maelekezo yoyote msaada please
Kweli mkuu ujue hata mimi najiuliza sipati majibu unajua timu yetu kwa sasa ipo vizuri hapa kati na nyuma lakini ukiangalia pale mbele kwakweli tunafeli sana maana hata ukiangalia kwenye msimamo ktk zile timu 4 za juu timu yetu imeruhusu magoli machache sana na hii inadhihirisha devence yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.