NITATOA USHUHUDA
JF-Expert Member
- Jul 6, 2017
- 757
- 730
una brain safi sana mkuuWe nawe unakubali tu huwezi hata kutofautisha quality ya picha
una brain safi sana mkuuWe nawe unakubali tu huwezi hata kutofautisha quality ya picha
Inaonekana upo SPORT EXTRA FB haha
hahahahahahahahahahaah
Omwete kokugonza.
Numbisa nimevumilia nimechoka, nimecheka mbavu tatu sina, nimetoka hospitali sasa sikia Numbisa nikiachika shauri yako maana mzee haelewi kinachonitoa machozi na kwikwi anaishia kulipa bill za hospitali. We haya. keep posting I love them though.
Numbisa nimevumilia nimechoka, nimecheka mbavu tatu sina, nimetoka hospitali sasa sikia Numbisa nikiachika shauri yako maana mzee haelewi kinachonitoa machozi na kwikwi anaishia kulipa bill za hospitali. We haya. keep posting I love them though.
Wajukuu utawalea wewe we mwanaa? Keep posting hapa mzee nimemweleza kucheka ndo kuongeza maisha. Naenda huku kwako na kwa le muntuz. Nimeishi US. Ukienda UN embassy utakutana na Neema.Uwiiii mamie ukiachika usisahau kuanzisha uzi MMU tule ubuyu hahahaaa
Thank u