Recent content by njoo apa

  1. njoo apa

    Gigy Money afungiwa miezi 6 na BASATA

    Akimaliza miezi sita hiyo...aje Mwanza apige shoo tena
  2. njoo apa

    Yanga tukatae Uhuni wa GSM huko mbeleni tutajuta

    Mkuu inawezekana usemalo ni sahihi... But. The reality is yanga wanahitaji mwekezaj mwenye pesa... Bila hilo hakuna litakalofanikiwa yanga zaid ya maneno tu... Duu umasikini unaweza sababisha ukauza hata mkeo ili usiaibike.....
  3. njoo apa

    Sheria Ya Utumishi wa umma

    Naomba pia sheria ya utumishi wa umma 2002.... Mshindopetson@gmail.com Sent using Jamii Forums mobile app
  4. njoo apa

    Je, mahari ni chanzo cha kukandamizwa kwa wanawake?

    Okkk lakin maana imeeleweka.... Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  5. njoo apa

    Je, mahari ni chanzo cha kukandamizwa kwa wanawake?

    Habari, Hivi mahari imekuwa ndiyo chanzo cha wanaume kuwanyayasa wake zao, nini maoni yako?
  6. njoo apa

    Naombeni msaada nimechanganyikiwa

    Fuata kile ambacho unakiamini ktoka ndani ya moyo wako... Angalia future yako... Sikiliza moyo wako.... Amin kile unachoona ni sahihi lakin usisahau ulikotoka Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
  7. njoo apa

    Mke wa mtu akikufanyia ishara hizi anamaanisha nini?

    Mmmh em nipe namba yake kwanza...
Back
Top Bottom