Binafsi namkubali sana.ni kati ya maraisi wachache wa kiafrika wanaosimamia misimamo yao.lakini umri umemtupa mkono achie vijana waongoze taifa yeye abakia kua mshauri itakua heshima kubwa kwake
Haya maisha yamekua magumu kwake peke yake mpaka awadhulumu watoto uhai wao?sasa baada ya kuwaua amepata unafuu gani?inawezekana kuna lingine lililomsukuma kufanya ukatili huu abanwe aseme vzr
Ndugu zangu waislamu ulazima wa serikali kugaramia hiyo mahakama yenu unatoka wapi ili hali mnajua haitahudumia kundi Fulani la walipako kodi acheni ubinafisi bana
Kuzaa mapema kabla ya ndoa na hata katika umri mdogo n kuendekeza ngono ziczo salama.kuzaa na kuwaachia wazazi jukumu kulea wajukuu n sababu nyingne kwan wanakua hawaoni uzito na maumivu ya kulea
kusimamishwa
kazi co kufukuzwa,binadamu hajakamilika kwahiyo kama wanatambua makosa
yao wawewaungwa tu wakaombe msamaha kushindana na mwajiri haipendenzi,najua na wao wanajua kua kwa sasa wao ni maarufu lakini bado umaarufu umkuja kupitia CLOUDS Fm,mi
nawapa pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.