Na wasio waoga wapo hosp wamevunjika viungo.
Hii haipo sawa kwamba kuvunja sheria na taratibu za eneo husika ni kiashiria cha kutokua mwoga na kutii ni uoga.
Acha hayo mambo ya kutuaminisha ujinga.wangekaa mita mia toka lango la gereza na wakampokea kiongozi baada ya kutoka sidhani Kama Kuna...
Labda hujaelewa vzr
Hawa tayari walishatoka siku mbili kabla ya tukio.wakaungana na wanachama na mashabiki wengine kwenda kumpokea mwenyekiti wa chama akiwa anatoka gerezani.
Inasemekana hapo ndipo walipojaribu kufanya fujo katika lango kuu la gereza na kilichotokea ndo hicho.
Polisi walikua...
Bwana Ridhiwani mbaraka
Mbona mzee wetu Mohamed said ameandika kitabu ambacho hajaacha kitu ktk historia ya Zanzibar.
Unamtuhumu kwa usiyoyajua lkn inaonekana umeweka nia ya kumkosoa ndio maana hata hapo alipoandika kuwa yericko amecopy sehemu ya maandiko yake.
Huulizi ameandika wapi ambako...
Nimefurahia andiko lako la kuchekesha na panjabi zako.
Kilichonifirahisha ni jinsi ulivyojitahdi kutunga hadithi na kuifanya kama tukio la kweli lkn pamoja na jitihada zote bado hukuweza kufanya ionekane si tukio la kubuni.
Wewe ni pumba kuliko pumba zenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.