Recent content by NJELA HELA

  1. N

    JamiiForums Tanzania Rais Kikwete: Kuwa Makini Hii Issue Itakuangusha

    Habari ndio hio kaka; kama wewe ni msafi zaidi kua wa kwanza kutupa jiwe kwa mwenzio Ila kwa kua CCM hakuna msafi kuanzia kwa chairman wao hadi malamba viatu wake, hivyo usitegemee kama watatajana.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kodi ya Simu: Serikali lazima isikilize kilio cha wananchi

    Mkuu Mwita Maranya Hapo kwenye red Watawezaje kufikilia kua kunawatu hawawezi kulipa hio hela ikiwa wao hawajui kama kuna watu wanakosa hata mlo mmoja wa siku kwa kusa fetha za kujikimu. Hii ni sawa na ile kauli ya Malkia Marie Antoinette wa Ufansa alivyo waambia wananchi wake kua; "Kama hamna...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Yaliomo ndani ya sekta ya mafuta na gesi

    Wana Jf. Karibuni tujadili hili swala pamoja. Namshukuru M/mungu kwa kunipa pumzi hadi leo hii nikiandika hili andishi. Pia nitakuwa sitatenda haki kama nisipomshukuru kwa kunipa utashi, akili, haiba hata uwezo wa kutambua jema na baya. Ni ukweli uliothibiti kuwa wako wengi sana wamezikosa...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Zitto alia na Tembo wetu

    Mauaji ya Tembo hasa Selou Game Reserve unaendeshwa na mtandao mkubwa hasa viongozi wa serikali, Mfano kunawatu walikamatwa na kuwekwa mahabusu kwa kosa la uwindaji haramu, lakini wametolea na wanaendelea na maisha yao ya uwindaji haramu tena kwa kasi kubwa zaidi ya mara ya kwanza, ufuatilia kwa...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Vaseline

    hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaa, wewe ni bayaaaa wewe ni mabayaaaa, you made ma day wewe ni mkaliiiiiiiii
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ulifikiria nini kujibatiza username unayoitumia JamiiForums

    Mimi jina hili ni lugha ya kwetu mahenge ikiwa ina maana ya najaribu hili nina alitumia baba yangu mdogo alipo anziasha biashara yake ya kukodisha baiskeli na baiskeli hizo aliziandika jina hilo.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ulifikiria nini kujibatiza username unayoitumia JamiiForums

    Nakashina za pamusi?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Uchaguzi wa Madiwani October 28, 2012

    Matokeo ya jumla kutoka Mahenge mjini CCM imeshinda,source Mwenyekiti wa CDM Jimboni hapo, its hard tu believe but that is the reality.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kuelekea 2015: Changamoto Kuu za CHADEMA ni nini?

    Mkuu umesahau na USALAMA WA TAIFA
Back
Top Bottom