Hiv wanasheria wa serikali kwel wanazijua sheria vizuri kabisa? Wanaweweseka kama vile wamepigwa na kitu kizito kichwan,nawapongeza sana wanasheria wa wananchi kwan wako katika haki na huo ndo UZALENDO WA KWEL
Ila kwenye ukwel tuwe tunaongea ukwel tuachane na ushabiki wa vijiwen mwamba alikuwa anapiga kazi waompinga n wale wezi waliozibiwa mianya ya kuiba ndo ukifatilia ndo wanamponda mzeee
Ninachokiamin hilo gari halikuwa na mikanda laiti hao watoto wangekuwa wamefunga mikanda nahisi madhar yangekuwa madogo sana,cha msingi tunaomba magari ya wanafunzi nayo yawe yanakaguliwa kama wamefunga mikanda
Pia magari ya hizi shule za private hana ubora kabisa n machakavu sana hata hayafai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.