Bado hatua moja, aliyewakutanisha askari wa JWTZ, Magereza na hao wengine wawili yupo, mahakama inawezekana haikupata namna ya kupata chanzo cha tukio.
Sasa ni vyema wakati hawa wahalifu wakipata malipo, huyu Binti atafute aliyewatuma naye apate halali yake!
Huu utopolo .....,..kwamba lengo la kuajiriwa ni ili kukiwa na mapungufu usiyaseme bali ujiondoe? Kwa mantiki yako, hata kwenye ndoa, mmoja wa wanandoa asiporidhika aachoe ngazi street wako wadada na wakaka wengi watachukua nafasi,......eeee! Kanisani nako kama huridhiki na kiongozi nenda kwa...
Ni napata ukakasi......bring mkeka kuonesha malipo......Mimi ni opposition, some good things I note with great honor and applaud...... What troubles me though ni uhai wa watu wetu na hali zetu!
Tanzania... Ni ya Watanzania wote na falsafa ya anayesema ukweli kuonekana mnafiki eti kwa vile jana alikuwa upande mwingine wa fikra.... Ni kufilisika.... Suala hapa kuna Safari inaishia katikati ya njia..... Na kukatika kwa safari yetu kumetokana na wanaomiliki basi na madereva...
Wee jamaa ninajua hapa kuna wachambuzi wewe unayetaja ukawa tafakari vizuri, some elewa kisha fanya jambo sahihi; walitandika watu ni kambi ya mgombea ambaye chama chake kina rangi ya kijani!!!! Sawaaaa
Hatuwezi kuwaondoa boda boda sasa the simplest ni kuwatafutia namna ya kukua na baadaye kuwaondoa wengi wao katika mitaji midogo ili waingie mitaji ya kati watengeneze fursa zingine, huku tukipunguza kila mwaka idadi ya boda boda zinazoingia barabarani, kwa scientific methods!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.