Recent content by nisheke

  1. nisheke

    Kim Jong-un: Sijali kuhusu onyo la Trump, tutaendelea kutengeneza silaha za nyuklia

    huku PUTIN, pale KIM na hapa TRUMP patamu sana hapo[emoji106]
  2. nisheke

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    enzi hizo Tsh 1000/= unatoka MBZ to K'KOO kwenda na kurud, saiz kwenda tu haitosh had uongeze 50 iwe 1050/= na hyo ni kwenda tu, watu hatuon hilibkwel jmn , cdhan!! Nadhan tumekosa wakutusaidia na tunapanda kwa kukosa option Nmepita comment zote nmeona kuwa kumbe hii ni kero kwa wengi...
  3. nisheke

    Maoni Ushauri na Mapendekezo kwa mabasi ya mwendo kasi (DART): Nini changamoto, nini umefurahia?

    MWENDO KASI KWENDA MBEZI NI UTESAJI NA UONEVU Kipindi cha nyuma MBEZ to POSTA/MUHMBL/KKOO ilkuwa 600/= na ikiwa umetokea KIBAMBA bas itaongezeka 400/= ya kuja MBEZ jumla Tsh 1000/= kwenda kurud 2000/= Leo hii: KBAMBA-MBEZ 400/= MBZ-KMARZ 400/= KMAR-POSTA/KKOO/ MUHMBL...
  4. nisheke

    Zitto: Angalieni hali ya Wanafunzi, jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya Tshs Bilioni 50

    Rahisi sana, nenda eneo tajwa kachek kama pcha ni za Kwel au la.. umeshatajiwa jina la shule, kata, wilaya vtakusaidia kufika hapo Simple tu sio unauliza viswal ambavyo majibu unayo pia
  5. nisheke

    Je, mikoa ya Rukwa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Katavi na Iringa nayo haina mvua?

    kumbe umesharud toka kwa anti ako kule ulkoenda kumsalimia tupe kwanza mrejesho wa yule binam ako[emoji38]
  6. nisheke

    Lijue Jeshi linalompa kiburi Yahya Jammeh

    mbona anakibur sana lakn kuna kitu anajivunia sio bure kwakwel
  7. nisheke

    Rais Magufuli mwombe Radhi Kikwete

    kwan umeambiwa wanaolalamika ni wakenya au? waliomchagua ndio wanaolalamika na ana wajibu wa kuwasikiliza Mbona humpend Rais wetu ww au hujui kuwa anaekutakia mema atakueleza mapema kabla mambo hayajaharbika kama unavyotaka ww
  8. nisheke

    Mkoa gani huyu? Mi nahisi mchagaa huyu

    aiseeee yuko vzur sana, safi sana.. hawa ndo wanaohtajka... Ni mbunifu [emoji106] , hakalili bila shaka atakuwa vzur hata sekta zngne maana ameonesha ubunifu wa hali ya juu Au chapati ni lazma iwe ya duara jamn? m nadhan content ndo cha maana umbo ni ubunifu wako tu so anaweza tengeneza...
  9. nisheke

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    hyo lugha ya malkia vp mkuu, ila wao huwa wanakosea pia wakiongea kiswahili.. kwenye mada husika sasa.... Je ni kwel kanda ya ziwa inauhitaji sana kuliko kanda zingne? umeulza swal zur[emoji115] , japo wengi hawajalijibu nadhan ni kwakukosa takwimu Naamini serikal ina nia njema na ina sababu za...
  10. nisheke

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    unajuaje kama ni wa kilimanjaro mkuu au hz ID znatambulisha pia
  11. nisheke

    Magari 50 ya wagonjwa yote kupelekwa kanda ya ziwa, hii imekaaje?

    zamu ya ngosha[emoji87] [emoji125] [emoji125] natania tu jaman sio uchochez mana feri wako macho saiz
  12. nisheke

    DPP: Tutaendelea kumshikilia Maxence Melo mpaka pale upelelezi utakapokamilika

    I know shit happens, bt why now jmn?
  13. nisheke

    Pitia hapa ujifunze kutumia account mbili za whatsapp kwenye simu moja!

    nlkuwa naitumia hyo app kpnd cha nyuma: txt haziingii kwa wakat, znachelewa hadi uingie ndo txt nazo znaanza kuingia, Alternatively, download gbwhasapp kwenye play store na unasajil kwa namba nyngne
Back
Top Bottom