Recent content by NIPENDEMIMI

  1. N

    CHADEMA yakerwa na tamko la Kamati Kuu ya CCM!

    aruta continua!!!!!!
  2. N

    Upendeleo CDM wahamia mikoa mingine kutokea Kilimanjaro

    unakera watu na thread za uchonganishi!huwezi kuweka thread ya kuelimisha umma au kujadili jambo la msingi lenye tija kwenye jamii??haya hii topic ina manufaa gani kwentu walalahoi!
  3. N

    Hoja ya CHADEMA kuhusu katiba yachakachuliwa

    tunajua mkweli ni nani na mnafiki ni yupi so tunasubiri chadema wanasema nini!tushaona cuf hakuna kitu, wanaharakati hakuna kitu, sasa ni chadema na nccr wabunge wao wawili!
  4. N

    Kwanini Kikwete anawakwepa vijana na kukumbatia wazee?

    mkipita magogoni, mpeni pole sana make muda si mrefu atapata salam zetu!
  5. N

    Kuanzia Leo Sitaki kusikia Habari za Wanaharakati

    tunawasubiri wapiganaji pekee wa nchi, the people's
  6. N

    Kwanini Kikwete anawakwepa vijana na kukumbatia wazee?

    nchi hii inajengwa na nani kwa asilimia nyingi, vijana tumesahauliwa kwa kiasi hiki, yeye ni wazee yani najiuliza ana maana gani kufanyua hivi? 1.hana uwezo wa kukabiliana na changamoto zao? 2.ni mwoga? 3.hana cha kusema make ameshindwa kuwatimizia ahadi zao alizowaahidi 4.anatuona hatuwezi na...
  7. N

    Dhana potofu na propaganda za uvunjifu wa amani-ni dhambi kumpumbaza mtanzania!

    well said brother, umeongea ukweli mtupu! mwisho upo na ole wao, no stone will be left unturned!
  8. N

    Dhana potofu na propaganda za uvunjifu wa amani-ni dhambi kumpumbaza mtanzania!

    well said brother, umeongea ukweli mtupu! mwisho upo na ole wao, no stone will be left unturned!
  9. N

    Watangazaji morning magic 92.9fm acheni ushabiki wa kipuuzi

    we ndo mropokaji???SOMA KWANZA UMUELEWE KIJANA KAANDIKA NINI??ANACHOKISEMA NI KUBALACE MAMBO!KAMA NIMEMUELEWA ANACHODAI INAPOFIKA MTU ANAIGUSA SERIKALI HUYU MTANGAZAJI ANAKUWA MKALI WHICH IS TRUE NA HILO NDO JAMBO KUBWA LILILONIFANYA NIACHE KUWASIKILIZA HAWA JAMAA!NI UKWELI MTUPU ALICHOSEMA NA...
  10. N

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    knywa juice ya asali na vitunguu swaumu na kama ukiweza changanya na unga wa mbegu za tikiti!mashalaa utanitafuta kunipa asante kwa ushauri usio na mashariti na madhara yoyote!
  11. N

    Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

    it is very obvious!mwakyembe's condition resulted from political.................!
  12. N

    Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

    Lakini ujumbe umefika au??
  13. N

    Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

    utaifa upi hali waliokalia nchi utaifa hawautaki, i am ready for anything to serve my country from these shits called ccm!
  14. N

    Uongozi CHADEMA,mmejiandaa kwa hili?

    suala la cdm kusemwa na ccm juu ya hotuba yake ni MKAKATI WA KUPINDISHA MANTIKI YA HOJA YENYEWE NA KUPOTOSHA WANANCHI ILI MIND ZAO ZIHAME KWENYE KATIBA NA KUWASHAMBULIA WANAMAPINDUZI WA KWELI, HOTUBA ILIKUWA NZURI ILA IMEBADILISHWA NAKUWA CHUKI KWA SABABU YA UKOSEFU WA UMAKINI WA WANASIASA WA CCM,
Back
Top Bottom