Nimekuwa muumini wa demokrasia makini itakayoleta mabadiliko nchini.Nimeamua kutoa uchambuzi kidogo ambao unaweza kukisaidia CDM kiweze kuungwa mkono na watu wa visiwan Zanzibar.
Kwanza kutokana na kuwa Zanzibar kuna mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa unaohusu Chama Cha Mapinduzi na Chama Cha Wananchi CUF,hii inaashiria kupungua kwa upinzani na kwa maana nyingine naweza kusema there is no strong opposition political party in Zanzibar.
Pili nlifuatilia siku maoni ya mchakato wa katiba nkagundua kuwa vijana wengi na wananchi kwa ujumla hawataki muungano na hata kama wanahitaji wanataka Muungano unaohusu serikali tatu yaani Tanganyika,Zanzibar na Serikali ndogo ya Muungano.Hii imekuwa ajenda ambayo CUF wamekuwa wakitaka lakini wameshindwa kuitetea sana hasa kwa kupitisha mchakato wa muswada wa katiba ambao unataka mambo makubwa ya Muungano yasijadiliwe
Tatu CDM imekuwa inasisitiza katika serikali tatu ambayo ni ajenda ambayo Wazanzibar wanaitaka,lakini kupitia Bunge Mh.Tundu Lisu amekuwa akisemwa kuwa ana nia mbaya na Zanzibar na hivyo ana chuki na Wazanzibar japo sitaki kuamin hivyo
Kutokana na maelezo hayo japo kwa uchache nawashauri viongozi wa CDM waingie Zanzibar hasa kwa kuwatumia John Mnyika na Zitto Kabwe kupata wanachama vyuo vikuu hapo Zanzibar.Nimewataja hawa vijana na viongozi katika CDM kwani wana uwezo mkubwa wa ushawishi na ni watu makini katika utendaji kazi wao.Kupitia vyuo vikuu Zanzibar CDM itaweza kupata wafuasi kwani naamini wasomi wana ushawishi mkubwa katika jamii.Tundu Lisu ni mwanasheria mzuri lakini asiende Zanzibar kutokana na chuki iliyopandikizwa kwake na wana CCM pamoja na CUF.
CDM ikijipanga vizuri naamini hata Zanzibar itapata wafuasi kwani wananchi wengi hasa wasomi wanapenda chama kinachoikosoa serikal ambapo CUF imeshindwa kutokana na kuwa sehemu ya serikali.
Ushauri wangu ndiyo huo kwa wana CDM.Wana CUF chukuen ushauri huu kama challenge kwenu ili mzidi kuimarisha chama chenu hasa kutokana na kuwa kimekosa mvuto bara.
Kwanza kutokana na kuwa Zanzibar kuna mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa unaohusu Chama Cha Mapinduzi na Chama Cha Wananchi CUF,hii inaashiria kupungua kwa upinzani na kwa maana nyingine naweza kusema there is no strong opposition political party in Zanzibar.
Pili nlifuatilia siku maoni ya mchakato wa katiba nkagundua kuwa vijana wengi na wananchi kwa ujumla hawataki muungano na hata kama wanahitaji wanataka Muungano unaohusu serikali tatu yaani Tanganyika,Zanzibar na Serikali ndogo ya Muungano.Hii imekuwa ajenda ambayo CUF wamekuwa wakitaka lakini wameshindwa kuitetea sana hasa kwa kupitisha mchakato wa muswada wa katiba ambao unataka mambo makubwa ya Muungano yasijadiliwe
Tatu CDM imekuwa inasisitiza katika serikali tatu ambayo ni ajenda ambayo Wazanzibar wanaitaka,lakini kupitia Bunge Mh.Tundu Lisu amekuwa akisemwa kuwa ana nia mbaya na Zanzibar na hivyo ana chuki na Wazanzibar japo sitaki kuamin hivyo
Kutokana na maelezo hayo japo kwa uchache nawashauri viongozi wa CDM waingie Zanzibar hasa kwa kuwatumia John Mnyika na Zitto Kabwe kupata wanachama vyuo vikuu hapo Zanzibar.Nimewataja hawa vijana na viongozi katika CDM kwani wana uwezo mkubwa wa ushawishi na ni watu makini katika utendaji kazi wao.Kupitia vyuo vikuu Zanzibar CDM itaweza kupata wafuasi kwani naamini wasomi wana ushawishi mkubwa katika jamii.Tundu Lisu ni mwanasheria mzuri lakini asiende Zanzibar kutokana na chuki iliyopandikizwa kwake na wana CCM pamoja na CUF.
CDM ikijipanga vizuri naamini hata Zanzibar itapata wafuasi kwani wananchi wengi hasa wasomi wanapenda chama kinachoikosoa serikal ambapo CUF imeshindwa kutokana na kuwa sehemu ya serikali.
Ushauri wangu ndiyo huo kwa wana CDM.Wana CUF chukuen ushauri huu kama challenge kwenu ili mzidi kuimarisha chama chenu hasa kutokana na kuwa kimekosa mvuto bara.