Uongozi CHADEMA,mmejiandaa kwa hili?

Makamuzi

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
1,155
263
Nimekuwa muumini wa demokrasia makini itakayoleta mabadiliko nchini.Nimeamua kutoa uchambuzi kidogo ambao unaweza kukisaidia CDM kiweze kuungwa mkono na watu wa visiwan Zanzibar.
Kwanza kutokana na kuwa Zanzibar kuna mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa unaohusu Chama Cha Mapinduzi na Chama Cha Wananchi CUF,hii inaashiria kupungua kwa upinzani na kwa maana nyingine naweza kusema there is no strong opposition political party in Zanzibar.
Pili nlifuatilia siku maoni ya mchakato wa katiba nkagundua kuwa vijana wengi na wananchi kwa ujumla hawataki muungano na hata kama wanahitaji wanataka Muungano unaohusu serikali tatu yaani Tanganyika,Zanzibar na Serikali ndogo ya Muungano.Hii imekuwa ajenda ambayo CUF wamekuwa wakitaka lakini wameshindwa kuitetea sana hasa kwa kupitisha mchakato wa muswada wa katiba ambao unataka mambo makubwa ya Muungano yasijadiliwe

Tatu CDM imekuwa inasisitiza katika serikali tatu ambayo ni ajenda ambayo Wazanzibar wanaitaka,lakini kupitia Bunge Mh.Tundu Lisu amekuwa akisemwa kuwa ana nia mbaya na Zanzibar na hivyo ana chuki na Wazanzibar japo sitaki kuamin hivyo

Kutokana na maelezo hayo japo kwa uchache nawashauri viongozi wa CDM waingie Zanzibar hasa kwa kuwatumia John Mnyika na Zitto Kabwe kupata wanachama vyuo vikuu hapo Zanzibar.Nimewataja hawa vijana na viongozi katika CDM kwani wana uwezo mkubwa wa ushawishi na ni watu makini katika utendaji kazi wao.Kupitia vyuo vikuu Zanzibar CDM itaweza kupata wafuasi kwani naamini wasomi wana ushawishi mkubwa katika jamii.Tundu Lisu ni mwanasheria mzuri lakini asiende Zanzibar kutokana na chuki iliyopandikizwa kwake na wana CCM pamoja na CUF.
CDM ikijipanga vizuri naamini hata Zanzibar itapata wafuasi kwani wananchi wengi hasa wasomi wanapenda chama kinachoikosoa serikal ambapo CUF imeshindwa kutokana na kuwa sehemu ya serikali.
Ushauri wangu ndiyo huo kwa wana CDM.Wana CUF chukuen ushauri huu kama challenge kwenu ili mzidi kuimarisha chama chenu hasa kutokana na kuwa kimekosa mvuto bara.
 
Nimekuwa muumini wa demokrasia makini itakayoleta mabadiliko nchini.Nimeamua kutoa uchambuzi kidogo ambao unaweza kukisaidia CDM kiweze kuungwa mkono na watu wa visiwan Zanzibar.
Kwanza kutokana na kuwa Zanzibar kuna mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa unaohusu Chama Cha Mapinduzi na Chama Cha Wananchi CUF,hii inaashiria kupungua kwa upinzani na kwa maana nyingine naweza kusema there is no strong opposition political party in Zanzibar.
Pili nlifuatilia siku maoni ya mchakato wa katiba nkagundua kuwa vijana wengi na wananchi kwa ujumla hawataki muungano na hata kama wanahitaji wanataka Muungano unaohusu serikali tatu yaani Tanganyika,Zanzibar na Serikali ndogo ya Muungano.Hii imekuwa ajenda ambayo CUF wamekuwa wakitaka lakini wameshindwa kuitetea sana hasa kwa kupitisha mchakato wa muswada wa katiba ambao unataka mambo makubwa ya Muungano yasijadiliwe

Tatu CDM imekuwa inasisitiza katika serikali tatu ambayo ni ajenda ambayo Wazanzibar wanaitaka,lakini kupitia Bunge Mh.Tundu Lisu amekuwa akisemwa kuwa ana nia mbaya na Zanzibar na hivyo ana chuki na Wazanzibar japo sitaki kuamin hivyo

Kutokana na maelezo hayo japo kwa uchache nawashauri viongozi wa CDM waingie Zanzibar hasa kwa kuwatumia John Mnyika na Zitto Kabwe kupata wanachama vyuo vikuu hapo Zanzibar.Nimewataja hawa vijana na viongozi katika CDM kwani wana uwezo mkubwa wa ushawishi na ni watu makini katika utendaji kazi wao.Kupitia vyuo vikuu Zanzibar CDM itaweza kupata wafuasi kwani naamini wasomi wana ushawishi mkubwa katika jamii.Tundu Lisu ni mwanasheria mzuri lakini asiende Zanzibar kutokana na chuki iliyopandikizwa kwake na wana CCM pamoja na CUF.
CDM ikijipanga vizuri naamini hata Zanzibar itapata wafuasi kwani wananchi wengi hasa wasomi wanapenda chama kinachoikosoa serikal ambapo CUF imeshindwa kutokana na kuwa sehemu ya serikali.
Ushauri wangu ndiyo huo kwa wana CDM.Wana CUF chukuen ushauri huu kama challenge kwenu ili mzidi kuimarisha chama chenu hasa kutokana na kuwa kimekosa mvuto bara.

wazo zuri!
 
suala la cdm kusemwa na ccm juu ya hotuba yake ni MKAKATI WA KUPINDISHA MANTIKI YA HOJA YENYEWE NA KUPOTOSHA WANANCHI ILI MIND ZAO ZIHAME KWENYE KATIBA NA KUWASHAMBULIA WANAMAPINDUZI WA KWELI, HOTUBA ILIKUWA NZURI ILA IMEBADILISHWA NAKUWA CHUKI KWA SABABU YA UKOSEFU WA UMAKINI WA WANASIASA WA CCM,
 
Mkuu ni makadirio tu haya. Kwamba 85% ya Waunguja ni wana CCM na 95% ya Wapemba ni CUF, kwa hiyo CHADEMA wakaokote wastani wa asilimia 20 (ambayo nadhani tayari wanayo), kati ya wastani wa Wazanzibari 800,000 ambao ndio politically active. Mhhh, sijui! Hata hivyo ni ushauri mzuri.
 
ili wakubalike Zanzibar itawabidi wawe wazi kuhusu hili udini linalozungumzwa sana kuhusu chama hiki.Nalog off
 
Nimekuwa muumini wa demokrasia makini itakayoleta mabadiliko nchini.Nimeamua kutoa uchambuzi kidogo ambao unaweza kukisaidia CDM kiweze kuungwa mkono na watu wa visiwan Zanzibar.
Kwanza kutokana na kuwa Zanzibar kuna mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa unaohusu Chama Cha Mapinduzi na Chama Cha Wananchi CUF,hii inaashiria kupungua kwa upinzani na kwa maana nyingine naweza kusema there is no strong opposition political party in Zanzibar.
Pili nlifuatilia siku maoni ya mchakato wa katiba nkagundua kuwa vijana wengi na wananchi kwa ujumla hawataki muungano na hata kama wanahitaji wanataka Muungano unaohusu serikali tatu yaani Tanganyika,Zanzibar na Serikali ndogo ya Muungano.Hii imekuwa ajenda ambayo CUF wamekuwa wakitaka lakini wameshindwa kuitetea sana hasa kwa kupitisha mchakato wa muswada wa katiba ambao unataka mambo makubwa ya Muungano yasijadiliwe

Tatu CDM imekuwa inasisitiza katika serikali tatu ambayo ni ajenda ambayo Wazanzibar wanaitaka,lakini kupitia Bunge Mh.Tundu Lisu amekuwa akisemwa kuwa ana nia mbaya na Zanzibar na hivyo ana chuki na Wazanzibar japo sitaki kuamin hivyo

Kutokana na maelezo hayo japo kwa uchache nawashauri viongozi wa CDM waingie Zanzibar hasa kwa kuwatumia John Mnyika na Zitto Kabwe kupata wanachama vyuo vikuu hapo Zanzibar.Nimewataja hawa vijana na viongozi katika CDM kwani wana uwezo mkubwa wa ushawishi na ni watu makini katika utendaji kazi wao.Kupitia vyuo vikuu Zanzibar CDM itaweza kupata wafuasi kwani naamini wasomi wana ushawishi mkubwa katika jamii.Tundu Lisu ni mwanasheria mzuri lakini asiende Zanzibar kutokana na chuki iliyopandikizwa kwake na wana CCM pamoja na CUF.
CDM ikijipanga vizuri naamini hata Zanzibar itapata wafuasi kwani wananchi wengi hasa wasomi wanapenda chama kinachoikosoa serikal ambapo CUF imeshindwa kutokana na kuwa sehemu ya serikali.
Ushauri wangu ndiyo huo kwa wana CDM.Wana CUF chukuen ushauri huu kama challenge kwenu ili mzidi kuimarisha chama chenu hasa kutokana na kuwa kimekosa mvuto bara.


Yaani hata useme nini DHAMBI hii ya ubaguzi walioinesha CDM kwa watanzania wa visiwa vya ZANZIBAR kamwe hawawezi kuitubu hata siku moja. Halafu nashangaa wanaomshambulia TINDU LISU wakati ile hotuba ilikuwa ni kutoka kambi rasmi ya Upinzani ambao kwa asilimia 99 ni CDM na kwa maana hiyo imeandaliwa na CDM , TINDU LISSU amepewa kusoma tu. Watanzania tumbuke maneno ya MWALIMU dhambi hiyo haitakaa iishe, ni kama kula nyama ya mtu. Wanachadema na hasa wale wasio kutoka kanda ya Kaskazini sijui wamejiandaa vipi kupokea ubaguzi wa mwingine baada ya ule wa Zanzibar kufanikiwa. Mimi sishangai kuona wakiwabagua wazanzibar, kwa vile TAFSIRI YA sera yao ya UMAJIMBO ndiyo hiyo.


KAMA MNATAKA KUONA MOTO NJOONI ZANZIBAR
 
Yaani hata useme nini DHAMBI hii ya ubaguzi walioinesha CDM kwa watanzania wa visiwa vya ZANZIBAR kamwe hawawezi kuitubu hata siku moja. Halafu nashangaa wanaomshambulia TINDU LISU wakati ile hotuba ilikuwa ni kutoka kambi rasmi ya Upinzani ambao kwa asilimia 99 ni CDM na kwa maana hiyo imeandaliwa na CDM , TINDU LISSU amepewa kusoma tu. Watanzania tumbuke maneno ya MWALIMU dhambi hiyo haitakaa iishe, ni kama kula nyama ya mtu. Wanachadema na hasa wale wasio kutoka kanda ya Kaskazini sijui wamejiandaa vipi kupokea ubaguzi wa mwingine baada ya ule wa Zanzibar kufanikiwa. Mimi sishangai kuona wakiwabagua wazanzibar, kwa vile TAFSIRI YA sera yao ya UMAJIMBO ndiyo hiyo.


KAMA MNATAKA KUONA MOTO NJOONI ZANZIBAR

Siamini na sijawahi kusikia CDM wakiwabagua wazanzibar,hiyo ni propaganda inayoenezwa na CUF na CCM
 
Ccm ndiyo vinara Wa Udini Tanzania Watachonganisha watu weee!!!!! wakishapata tu kura basi wanawaacha solemba.
 
Nimekuwa muumini wa demokrasia makini itakayoleta mabadiliko nchini.Nimeamua kutoa uchambuzi kidogo ambao unaweza kukisaidia CDM kiweze kuungwa mkono na watu wa visiwan Zanzibar.
Kwanza kutokana na kuwa Zanzibar kuna mfumo wa serikali ya Umoja wa Kitaifa unaohusu Chama Cha Mapinduzi na Chama Cha Wananchi CUF,hii inaashiria kupungua kwa upinzani na kwa maana nyingine naweza kusema there is no strong opposition political party in Zanzibar.
Pili nlifuatilia siku maoni ya mchakato wa katiba nkagundua kuwa vijana wengi na wananchi kwa ujumla hawataki muungano na hata kama wanahitaji wanataka Muungano unaohusu serikali tatu yaani Tanganyika,Zanzibar na Serikali ndogo ya Muungano.Hii imekuwa ajenda ambayo CUF wamekuwa wakitaka lakini wameshindwa kuitetea sana hasa kwa kupitisha mchakato wa muswada wa katiba ambao unataka mambo makubwa ya Muungano yasijadiliwe

Tatu CDM imekuwa inasisitiza katika serikali tatu ambayo ni ajenda ambayo Wazanzibar wanaitaka,lakini kupitia Bunge Mh.Tundu Lisu amekuwa akisemwa kuwa ana nia mbaya na Zanzibar na hivyo ana chuki na Wazanzibar japo sitaki kuamin hivyo

Kutokana na maelezo hayo japo kwa uchache nawashauri viongozi wa CDM waingie Zanzibar hasa kwa kuwatumia John Mnyika na Zitto Kabwe kupata wanachama vyuo vikuu hapo Zanzibar.Nimewataja hawa vijana na viongozi katika CDM kwani wana uwezo mkubwa wa ushawishi na ni watu makini katika utendaji kazi wao.Kupitia vyuo vikuu Zanzibar CDM itaweza kupata wafuasi kwani naamini wasomi wana ushawishi mkubwa katika jamii.Tundu Lisu ni mwanasheria mzuri lakini asiende Zanzibar kutokana na chuki iliyopandikizwa kwake na wana CCM pamoja na CUF.
CDM ikijipanga vizuri naamini hata Zanzibar itapata wafuasi kwani wananchi wengi hasa wasomi wanapenda chama kinachoikosoa serikal ambapo CUF imeshindwa kutokana na kuwa sehemu ya serikali.
Ushauri wangu ndiyo huo kwa wana CDM.Wana CUF chukuen ushauri huu kama challenge kwenu ili mzidi kuimarisha chama chenu hasa kutokana na kuwa kimekosa mvuto bara.

Wewe ni mchanga wa siasa za zanzibar na wala hujui upinzani zanzibar una mizizi yake toka 1957 ulipofanyika uchaguzi wa kwanza, na baadae 1963 kabla ya mapinduzi ya 1964. Kwa uchanga wako ndo unakurupuka na kudhani kwamba hao wahuni wako watapata ufuasi zanzibar, wakati huku kuna mikoa lukuki hata tawi hamjawahi kufungua. Unazungumzia kutaka kumhudumia mtoto wa mwenzio wakati wako anatembea mtaani makalio yakiwa wazi.
 
Mbopo akili yako inakuambia kuwa ZNZ kuna vyama 2 tu?yaani CCM A na B?au unadhani wanzanzibar wote ni wajinga na wote wanafuata mkumbo? au unadhani hawawezi kuchambua kitu au jambo la kisiasa?kwa taarifa yako hotuba ya upinzani iliyotolewa juzi kwa wananchi wa ZNZ ndio hasa wanaitaka isipokuwa kwa viongozi wa CCM na CUF a.k.a CCM B.Hujui last week waZNZ juzi walitaka kuandaman juu ya muungano ivunjwe?Kwa taarifa wazo la kuipeleka CDM znz linawezekana
 
Wewe ni mchanga wa siasa za zanzibar na wala hujui upinzani zanzibar una mizizi yake toka 1957 ulipofanyika uchaguzi wa kwanza, na baadae 1963 kabla ya mapinduzi ya 1964. Kwa uchanga wako ndo unakurupuka na kudhani kwamba hao wahuni wako watapata ufuasi zanzibar, wakati huku kuna mikoa lukuki hata tawi hamjawahi kufungua. Unazungumzia kutaka kumhudumia mtoto wa mwenzio wakati wako anatembea mtaani makalio yakiwa wazi.

kuwa mchanga au mzee katika siasa si issue,toa hoja inayoeleweka!mbona Mnyika ni mchanga katika siasa lakini tumeona anavyoweza kujenga hoja kuzid hao wakongwe kama Wassira,jenga hoja..
 
Mbopo akili yako inakuambia kuwa ZNZ kuna vyama 2 tu?yaani CCM A na B?au unadhani wanzanzibar wote ni wajinga na wote wanafuata mkumbo? au unadhani hawawezi kuchambua kitu au jambo la kisiasa?kwa taarifa yako hotuba ya upinzani iliyotolewa juzi kwa wananchi wa ZNZ ndio hasa wanaitaka isipokuwa kwa viongozi wa CCM na CUF a.k.a CCM B.Hujui last week waZNZ juzi walitaka kuandaman juu ya muungano ivunjwe?Kwa taarifa wazo la kuipeleka CDM znz linawezekana

well said!
 
Back
Top Bottom