[/FONT]Nimefuatilia Hotuba ya Ndg Mr. president Kikwete nimegundua kuwa yeye na washauri wake ikiwa pia na chama chake wemeshindwa kumshauri ni wapi aongelee mambo ta Kitaifa na ni kundi gani linaguswa na jambo husika.
Katiba hii tutakayopambana kufa au kupona ili iwe inayokidhi matakwa ya Watanzania ( VIJANA) na sio wazee wa CCM na tena wale wa Dar tu kama tulivyowaona wanasinzia wakati wa hutuba ya Mr.President.Yawezaka pia kuwa wazee hao wanafikili kuwa bado Tanzania ni CCM tu kwani walikuwa wanasikika wakiimba CCM kila Mr. President waliposema neno na kusahau kuwa CCM ITAKUFA kabisa baada ya uchaguzi 2015. Nionavyo mimi wale wazee wa Dar anaowatumia Mr. President kutokana na Umri wao miaka minne iliyobaki ya kikwete na hata kabla ya kupatikana kwa katiba mpya Umri wao kwa mjibu wa maandiko matakatifu hautawaruhusu kuwa na nguvu ya hata kutembea bila mikongoja ( sitaki niwatabilie uwepo wao duniani). kwa Ufupi katiba ijayo ni ya VIJANA na kamwe si wazee tena kama CCM wanavyojidanganya.
Hata hivyo Mr. President na serkali yake wanajua walivyolisahau kundi kubwa hili la vijana na kuendelea na kundi la wazee ambao wanajua muda wao ni mchache sana.
Vijana KUWENI macho na hili na msikubali kabisa na kwa wenye hakili za utambuzi wa mambo ya political Kipropaganda utagundua tu kuwa hizi ni mbinu zilizopitwa na wakati za kungangania wazee na kuwaacha VIJANA wakitaabika...
Hii inaitwa political Miscalculation na matokeo yake yataonekana ni swala la Muda tu Ndg Mr. President.
Ulitaka ushirikishwe kwenye lipi zaidi ya kutumiwa na cdm?
OTIS