Nataka kulima nyanya aina ya monica f1 toka kibo seed,naomba kuuliza je mbegu hii naweza kupanda kifuku,nitapanda miche mingapi kwa ekari moja ,je mmea mmoja unatoa kg ngapi ya nyanya.asante
kurudiana na mtu uliyeachana naye ni ujinga mkubwa sana, ni kutaka kumwonyesha kuwa hakuna kama yeye dunia nzima , ni kujishushia thamani yako mwenyewe unaonekana hujiamini na bila yeye huwezi kitu. ukiachana na mpenzi fanya kama amekufa vile na maisha yako lazima yaendelee .
naomba kuuliza,nimepita kwenye duka la dawa za kilimo kununua dawa ya ukungu, nimezoea kununug ridomil gold kg 1 kwa sh 44,000 elfu nikaambiwa ipo na ivory kg 1 inauzwa sh 28,000 je utofauti huu wa bei unatokana na ubora wa dawa au nini? asante.
naomba kuuliza ni aina gani ya nyanya hybrid ndefu ambayo ina gamba gumu na ninaweza kuvuna kwa miezi sita,kwani nataka nilime mwezi wa tisa ili nami nigongane na bei nzuri kama hao waliolima EVA F1 walioanza kuvuna mwezi wa kumi mpaka sasa maana miezi hii yote nyanya ina bei nzuri. Pia naomba...
NAOMBA KUULIZA JE NAWEZA KUPANDA NYANYA AINA YA ANNA FI SEHEMU YA WAZI NA SIO KWENYE GREEN HOUSE NA IKAZAA VIZURI. JE EDEN F1 NAWEZA MWEZI WA TISA ILI NIVUNE MWEZI WA KUMI NA MOJA NA MBILI KWA NJIA YA KUMWAGILIA, AU INAFAA MASIKA TU. ASANTE
KWA MICHE HIYO 3200 HADI 3500 KWA SUKARI F1 NAWEZA KUPATA MATUNDA MANGAPI? JE KWENYE SHAMBA LA TIKITI NAWEZA CHANGANYA NA MAZAO MENGINE, JE NAWEZA KUPANDA KWENYE SHAMBA NILILOCHIMBA VIAZI NA MAGONJWA YALIYOKUWA KWENYE VIAZI KAMA MNYAUKO YAWEZA KUDHURU TIKITI? NITATUMIA MBOLEA KIASI KUANZIA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.