Hakuna aliyewekewa mizengwe watu wanapinga mkataba ulio wa kinyonyaji.Waje na mkataba wenye maslai kwawote watapokelewa vizuri tuu. Alafu hata wewe Acha kueneza uwongo kuwa DP WOLD Wanafanyiwa figisu.Mpaka sasa ushawai sikia tamko lolote kutoka kwa DP WOLD? Zaidi ya selikali kutaka kulazimisha...
Huu upuuzi mtaacha lini? Hizo ni hoja zakitoto mtu akishakufa kimahesabu hayupo na hana mchango wowote kwa output ya MATOKEO yanayo tokana na UONGOZI wa sasa.Kuballini tu kuwa taulo limewadondoka mbele ya MKWE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.