Yaani Kenya wanapewa mikopo mikubwa na Mashirika ya fedha Duniani halafu wanavimbishwa kichwa na wanaowakopesha na Wakenya wanajaa.Sasa badala ya kutanua vyanzo vya Mapato ili walipe hayo Madeni wao wanaharibu Mahusiano na Majirani ambao wangefanya nao Exchange na kudunduliza vijisenti ili...
Mkuu Air Tanzania ina routes z Kenya?Tuanzie hapo.Kama hakuna wanajisemesha nini sasaa.Hawa kuwadharau Tz hatupeleki hata Mgambo,tunafanya Ujirani mwema na Alshabaab kwa wiki moja tu inatosha.Tz tushapigana sana saa hivi tunajenga Nchi.Uhuru wao Kenya wenyewe kuna Voice ya Tanzania.
Baasi bwana,Kenya wakajifanya wanaweza kuisaidia Somalia dhidi ya Alshabaab.Aisee kinachowakuta wenyewe hawasimulii maana ni aibuu.Alshabaab wakawaonya nyie tuacheni haya ni yetu ya ndanii jamaa wanakaza eti tunawaweza.Jamaa tuachieni mambo yetu ya ndanii, mbona Tanzania wametushauri tu...
Ukikaa naye kwa siku tisini,hata kama ni Sogea tuishi basi anakuwa na haki zote kama mke kasoro cheti tu.Sasa Miaka mitatu unamchakata Papuchi halafu uje unajiliza huku JF.
Kinyongha anapobadili rangi katika kila Mazingira anapokuwa huwa anahama u-kinyonga wake?Pili hapo Pamejaa kijani,huyo Mlinzi akiwa tofauti huoni anaweza kuwa Target?Pia Kijeshi hiyo inaitwa Kamafleji usituchonganoshe wananchi na Rais wetu.
Ila hawa jamaa Siku wakijimix watakula cha mbwa koko,ujue Tanzania inaweka rohoni ujinga wa hawa jamaa.Hivi Kenya wanafikiri Personality yao ni kubwa kiasi vile Tanzania waishobokee?Hii illusion ndo inayowaumiza Wakenya.Superiority ndiyo inayowanyima amani hawa watu.Tanzania is the Great Country...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.