Recent content by Nilea

  1. N

    Harmonize - Hainistui (Official Audio)

    Mondi ana manyimbo mengi ya mipasho anawapasha mpaka maex wake lakini hakuna anaeona, leo kaimba konde eti mipasho kama mwanamke hovyooo.... wala hammstui kunyweni chai ya pilipili mkalale Sent using Jamii Forums mobile app
  2. N

    Mauaji katika Fungate (je ni kweli Shrien Dewan alipanga mauaji ya mke wake?)

    Kwa muono wangu nahisi huyo bwana alihusika kabisa na kifo cha mkewe kwanini wezi wamshushe yeye na wamng'ang'anie mkewe, ila sasa sababu za kumuua ndio haziniingii akilini daah! ni kesi ngumu japo Polisi walimua kuifanya kuwa nyepesi kwa kuingia makubaliano na hasa dereva wa tax maana ndie...
  3. N

    Dada wa kuuza mgahawani anahitajika

    Yaani huyo huyo auze mgahawa na pia apike na kwa umri huo ina maana ni binti ambaye ndio kwanza amemaliza form four huo uzoefu na ujuzi wa kupika vyakula vyenye hadhi ya kimataifa ameupata wapi?
  4. N

    Polisi aliyeonekana kwenye Video iliyosambaa akipokea rushwa achukuliwa hatua

    Kwani wamesema kafukuzwa au kachukuliwa hatua kuchukuliwa hatua za kinidhamu sio lazima afukuzwe
  5. N

    Natafuta mume

    [emoji22] [emoji22]
  6. N

    Natafuta mume

    Amen
  7. N

    Natafuta mume

    Naishi Dar es salaam
  8. N

    Natafuta mume

    Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza, Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
  9. N

    Chakula hufungua moyo

    Naunga mkono, dinner yaweza kukupa mke mzuri umpendae
  10. N

    Daladala za Dar zaruhusiwa kusafirisha abiria kwenda Moshi na Arusha

    Bora waikarabati hiyo reli tu wakati kama huu wamigombani watakuwa wanajioakia zao kwenye treni hao Moshi kwenye kisusio, lakini na wachaga hamjaiona Bombardier au ndo ubahili tu
  11. N

    Kosa langu hapa ni nini

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  12. N

    Fashion

    Huyu naye sasa hiyo style ya kwendea wapi?
Back
Top Bottom