Mwanaharakati wa Masuala ya Uhifadhi wa Mazingira na Rasilimali za Maliasili, Juma Mbao Amefanya tafiti kwa namna gani ukuaji wa Miji kama Dar es Salaam Unaathiri Uhifadhi na Malisho ya Ndege na Athari zake kwa Binadamu na Mazingira kwa ujumla. Kufahamu kwa undani kuhusu tafiti yake bonyeza...
Fuatilia tafiti iliyofanywa na Mwanasheria Pascal Mshanga kuhusu Sintofahamu ya Kisheria (Legal parable) iliyopo kwenye fedha za mitandaoni na teknolojia inayoziwezesha (crypto currency and block chain technology); Uhitaji wa mfumo wa udhibiti. Tazama mahojiano aliyofanya na The RISACHI ili...
Daktari Saganya amefanya tafiti kuhusu tatizo la Shinikizo la Damu la Ujauzito (Pregnancy Induced Hypertension, (PIH)) kwa wanawake waliojifungulia Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa baadhi ya miezi ndani ya mwaka 2017. Kufahamu maana sahihi ya Shinikizo la damu la ujauzito na aina zake, ukubwa wa...
Msomi wa Shahada ya Uzamili ya Uhasibu na Fedha katika Mafuta na Gesi Asilia, Leonard Constantine Amefanya ‘Risachi’ kuhusu Ushiriki wa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (Micro, Small, and Medium Enterprises (SMEs)) katika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia. Kufahamu Fursa zilizopo kwa SMEs katika...
Mwanasheria Emmanuel Ukashu amefanya ‘Risachi’ akichambua Sheria ya Tanzania ya Makosa ya Mtandaoni (Cybercrime Act) ya Mwaka 2015: Uelewa wa jamii juu ya Sheria hiyo. Kuifahamu vizuri Sheria hiyo na mipaka yake, makosa yaliyoainishwa kisheria, na nini kifanyike kuepuka kesi zinazoweza...
Mwanahistoria na Mdau wa Maendeleo, Francis Daudi amefanya Tafiti kuhusu Mahusiano ya Kiuchumi kati ya Tanzania na India toka Mwaka 1960. Kufahamu mahusiano hayo, fursa za kiuchumi zilizopo kwa Watanzania nchini India na baadhi ya tamaduni za Wahindi. Bonyeza linki ifuatayo https://goo.gl/fwACmV...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.