Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ni Serikali Kuu na kuna Mamlaka za Serikali za Mitaa katika Wilaya husika. Mamlaka za Serikali za Mitaa ni Halmashauri za Wilaya pamoja na Miji Midogo, Miji, Manispaa na Majiji.
Ukiondoa Wilaya za Mkoa wa Dar es Salaam, Wilaya ya Tanga na Wilaya ya Dodoma Mjini ambazo...
Ni kweli vigezo vipo wazi. Hata hivyo, kigezo cha kiuchumi hakizingatiwi kwa kuwa mapato yote ya uhakika yanachukuliwa na Central Government na hivyo hata uendeshaji wake unategemea central government. Jambo lililo wazi uwepo wa Mamlaka za Serikali za Mitaa umesaidia kusogeza huduma kwa wananchi...
Kwa maana ya miaka minne unaondoa kipindi ulichokuwa masomoni tu. Ni wajibu wa mwajiri kukupandisha cheo katika kipindi cha miaka minne iwapo hajafanya hivyo una haki ya kumwandikia ili kufahamu. Unahitaji kupata Sera ya Utumishi wa Umma, sheria ya Utumishi wa Umma na kanuni zake. Zinapatikana...
Mtoa mada anahusisha kutopandishwa vyeo kwa watumishi wanaokwenda masomoni kama kosa la jinai. Ni muhimu tukawa na uelewa Sawa kuhusu utaratibu wa kupandishwa vyeo na faida za mafunzo kwa mtumishi na Serikali katika Utumishi wa Umma. Tuanze kuangalia utaratibu wa kupandishwa vyeo. Kwanza...
Tafsiri ya haraka ya kitambi chochote ni kuwa tunatembea na chakula cha ziada ambacho mwili hauhitaji. Mtizamo wa jamii kwa siku za nyuma ukiwa na kitambi inaonekana kama mambo yako ya kiuchumi ni mazuri na inaonekana kuwa mfano bora wa watu waliofanikiwa kimaisha. Ni muhimu tukadhibiti ulaji wa...
Iwapo taratibu hazijazingatiwa unaweza kwenda Tume ya Usuluhishi na Uamuzi kupinga unfair termination. Hustahili kulipwa posho ya kujikimu sheria ilishafanyiwa mabadiliko
Wanapaswa kukurejesha place of engagement ambayo ni Bukoba kwa mujibu wa maelezo yako. Stahili nyingine ni kama zilivyo kwenye mkataba. Suala la kusitishwa mkataba lina taratibu
Kigezo kikubwa katika udahili ni kiwango cha ufaulu. Petroleum Geosciences inachukua vipanga zaidi. Kama amefaulu sana ni muhimu akachagua mwenyewe kwa utashi wake
Hoja hiyo ni dhaifu na imepitwa na wakati kutokana na hoja zifuatazo:- Dhana ya kutoka Wizara ya Elimu na kwenda kwenye Mamlaka za Wilaya na Miji ilikuwa ni utekelezaji wa dhana ya kugatua madaraka. Walimu wameundiwa chombo kipya ambacho kitawahudumia kuanzia Julai, 2016.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.