Mkuu hii kitu ipo. Juzi natoka Airport hadi mbezi beach nilipocheki wakati narequest ikaonyesha 14k-16k. Jamaa ananishusha ikaja 56k. Imesoma kwake na kwangu, nikiangalia route tuliyopita ni tofauti kabisa na uhalisia. Nikamwambia nakupa 30k na nareport Uber maana haikuwa kawaida. Niliporeport...
Wapuuzi sana hao jamaa. Mtu anakuita unafikiri anakuitia kitu cha maana unafika pale unaambiwa mambo ya Goodmorning....Aghrrrr inakera sana.
Dawa yao hao ni kuwaambia ukweli vijana waache tamaa ya hela za kusadikika
Mkuu Asante sana sana! nimefata steps zote na zimekubali. Ila ushauri kidogo hapo kwenye kurestore imei hakuna haja ya kuadd new port inabidi utumie ile ile tu
huo ni uongo na uzushi........kuna kasoro nyingi sana hawataki kukiri.....mimi mwenyewe hapa sijahesabiwa, tena hapa sinza tu na watu kibao mtaani kwetu hawajahesabiwa hao makarani hawajafika....imebidi nimtafute rafiki yangu ambae ni karani ili aweze kuniandika kama mkazi wa hilo eneo aliko...
Ndio maana naipenda JF, hii habari ilikuja jana hapa jamvini kama tetesi kuwa Familia imenunuliwa ili waseme hayo waliyosema sema. Sasa tunaweza thibisha kuwa haikuwa tetesi bali ni kweli tupu........Hawa familia wanafanya jambo baya sana, huku ni kumdhalilisha marehemu...
Anajibu swali la yule wa mbagala kuwa hata wakati anagombea ubunge wapo waliosema atakuwa kama wale wale tu lakn kinachoendelea ni tofauti......anaomba support ya watu wa Znzb ili CDM nayo ifike huko
Maulanga: kila mwananchi atimize wajibu wake na kila mtu atumie ataaluma yake kupush machinery ya serikali.....tuache kuihujumu nchi kwa kutotimiza wajibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.