Recent content by Nickman

  1. Nickman

    Ni muda gani mtoto anastahili kupata Elimu bora?

    Naleta kwenu huu mjadala ili tujadili kwa pamoja. Kumekuwa na shida ya wazazi kusomesha watoto kwenye shule za gharama kubwa sana wakiwa na umri mdogo. Lakini je, ni wakati gani mtoto anatakiwa kupata msingi wa elimu? Na kumgharimu mzazi? 1.Kindergarden 2. Nursery 3.Primary 4.Secondary...
  2. Nickman

    Mambo ya Kuzingatia Unaponunua Simu janja (Smartphone)

    Shukrani kwa kutupanua wigo wa uekewa! mkuu mi nina samsung galaxy lakini namna ya kuangalia Mambo uliyo yataja nashindwa. Hebu endelea kunipa msaada.
  3. Nickman

    Nkurunziza's flight fails to make landing at the Bujumbura airport

    Ukisikiliza vyombo vya habari inaonyesha bado haijajulikana vyema kama kweli nchi imepinduliwa,Tuendelee kutafuta uhalisia wa tukio hili!
  4. Nickman

    Foleni hapa BP Kilwa Road kwa tunaotokea Mbagala ni tatizo!!

    Serikali na ww,tafuta ufumbuzi kwanza ww,njoo na pendekezo la kuishauri taasisi husika (TANROADS au MANISPAA ).Tusaidiane kipata majibu badala ya kulalamika tu.
  5. Nickman

    Peter Kibatala: Awashika pabaya polisi sakata la Gwajima

    acheni kushabikia mambo ya kinafiki,kuna kitu nyuma ya pazia utajiri alio nao gwajima ni wa kuhoji
  6. Nickman

    Wafanyabiashara kugoma nchi nzima

    Taarifa zilizopo ni kwamba mh waziri mkuu ameshaongea nao na wameshafikia mwafaka
  7. Nickman

    UFufuo na Uzima wafanya maombi ya Nguvu...

    Hakuna upako wa matusi katika kazi ya mungu! Askofu Gwajima na kanisa la ufufuo na uzima wanapaswa kumuomba radhi pengo
  8. Nickman

    Kama wewe ni mgeni Shinyanga mjini, usilale Buchosa guest house inafuga vibaka na majambazi

    Mkuu,jitahidi unapoenda mahala jaribu sana kuilizia gest/hotel zenye utulivu na amani,bei nzuri na madhari pia.Inawezekana pia hapo buchosa mandhari yake siyo mazuri
  9. Nickman

    Kama wewe ni mgeni Shinyanga mjini, usilale Buchosa guest house inafuga vibaka na majambazi

    Pole mkuu! Gest ya 5000 lazima ikugharimu.mara nyingi huwa ni za madada poa,
  10. Nickman

    Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

    Watanzania siku zote ni wavivu wa kusoma vitabu,hii imedhihirika hata hapa jf.Nilitegemea kwamba watu watamuunga mkono zitto na wengine wote wenye kusoma vitabu,matokeo yake tumekuwa watu wenye kejeri na maneno mengi yasiyo na mantiki,lakini tukumbuke kwamba siku zote maarifa hayaongezwi kwa...
  11. Nickman

    Kada wa CHADEMA achinjwa akisherehekea ushindi

    Kuna tetesi kwamba mtu mmoja anayesadikiwa kwamba ni mme wake na mwenyekiti aliyeshinda wa mtaa wa igulwa ushirombo amechichwa kinyama na watu wasiojulikana jirani na nyumba yake,mauaji hayo yamefanyika wakati familia yake ikisherehekea ushindi wa kishindo alioupata mke wake kupitia chama...
  12. Nickman

    Yaliyojiri Bungeni: Alhamisi, 27 Novemba, 2014 - Mjadala Ripoti ya Tegeta Escrow Account

    Nimegundua kwamba suala hili litaishia njiani,na rais atakaporejea ataunda tume ya kuchunguza mchakato mzima,Ccm wamejipanga sana kutetea hoja hii.Lakini ole wao wanaotetea fedha iliyopotea kwa njia za udanganyifu maana mikono ya wananchi itawahukumu
  13. Nickman

    Akutwa juu ya nguzo ya umeme akiwa uchi wa mnyama kabisa

    Hata picha za gari lililo mbeba ziko nje ya uwezo?
  14. Nickman

    NMB wanakomoana na serikali au?

    Mkuu asante kwa kuliona hili,haya mabenki yetu yanatuona sisi watumishi kama mtaji wao,nilisikia kwamba NMB ilishinda tenda ya kutoa huduma za kibenki mikoani wakati kwa mkoa wa Dar es salaam CRDB walishinda,ndo maana huku mikoani bado fujo na NMB zipo,lakini ifikie mahala serikali yetu sikivu...
Back
Top Bottom