Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

Zitto aonyesha vitabu anavyosoma

kwenye mtandao wake wa facebook kapost vitabu alivyosoma mwaka huu 2014

JANUARY MAKAMBA naye ana library kubwa tuu ya vitabu

https://www.facebook.com/photo.php?...1759799.111977.100000321189166&type=1&theater



1544495_859146117439420_8142435975342890763_n.jpg


10873456_859146107439421_1290674195868805605_o.jpg


10433079_859146104106088_1134534736730823874_n.jpg

10848505_859146114106087_2604473700147684067_o.jpg

10334249_859106847443347_5507784812553632661_n.jpg


kuhusu hiko kitabu hichi juu anasema hivi:

"Jakaya Kikwete anaingia ameingia katika mwaka wake wa mwisho wa uongozi wake akiwa na mtihani mkubwa unaohusu ‘legacy’ yake mwenyewe. Ni Kiongozi pekee wa Tanzania aliyeruhusu taasisi za Uwajibikaji kufanya kazi zake na hata yeye kujikuta akichukua hatua kulingana na maamuzi ya taasisi hizo. Kabla yake, hakuna Rais wa Tanzania aliyetoa nafasi kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kufanya kazi zake kwa uwazi na umahiri. Hatua yake ya kujadili kwa uwazi taarifa ya CAG ya mwaka unaoishia Juni 30, 2006 kwa kuwaita Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, kasha Makatibu Wakuu, Ma RAS na Ma DED ilijenga msingi mkubwa wa taarifa zinazofuata za CAG. Mwaka 2012 alifukuza kazi mawaziri 6 na manaibu mawaziri 2 kufuatia Taarifa za Kamati za Bunge za Mahesabu zilizotokana na Taarifa ya CAG. Haikupata kutokea katika historia ya nchi yetu Rais kufanya hivyo. Hata hivyo, Rais Kikwete amepata changamoto kubwa inayotokana na mafanikio yake ya miaka 9 ya uongozi wake. Namna atakavyo shughulikia suala la akaunti ya Tegeta Escrow, ama itafuta ‘legacy’ yake au itaiimarisha. Akiimarisha atakuwa ‘redefining leader’ – Kiongozi ambaye anatoa changamoto kwenye mazoea na kufanya yale ambayo wenzake walishindwa."

Soma RaiaTanzania kesho Jumatatu katika jarida la Elimu. Hiki ni kitabu changu cha mwisho wa mwaka huu 2014 The Myth of The Strong Leader by Prof. Archie Brown


https://www.facebook.com/photo.php?fbid=859106847443347&set=a.102079856479387.4657.100000321189166&type=1&theater
Kwa jinsi hiyo mnavyo msifia mme wenu hata akionyesha choo anachotumia kunyea mtatuletea hapa ili tujadili jf
 
Hahaha. Kwa hiyo kwenye Ofisi ya sugu hakuna kitabu hata kimoja. kuna vipisi vya fegi na ganja tu

ungekuwa umetenda haki kwa kueleza vitabu au magazeti wasomayo makatibu wakuu wa vyama vya siasa nchini.
 
mi nasubiri list ya vitabu vilivyosomwa na wenyeviti wa vyama. naamini hapa wenyeviti ngoma itakuwa duroo:becky:
 
Watoto wa MULUGO saa ngapi mtaelewa umuhimu wa kuwa na shelves nyumbani..?!?
 
SUGU hana muda mchafu wa kusoma vitabu, yeye na GANJA, ganja na yeye.

ccm itazidi kupoteza viti vingine zaidi mwakani ikiwa na wanachama wenye mawazo mgando kama hawa waropokajii wanaoamini katika vijembe.
 
Sijaona hata kimoja chenye maana. Vyote ni history.Angejisomea tu " The Secrte"The master Key System nungemwelewa.Otherwise anakopi na kupaste mafanikio na makosa wengine Ulayani, Asia na Uislam

aisee!! labda alisoma au atasoma umejuaje?

Kuna mtu anakupangiaga cha kusoma?
 
Hakuna kitu debe tupu haliachi kutika. Kwani kusoma vitabu na issue. Apeleke huko u bisho wake.

Hebu tutolee ujinga na ushamba wako hapa. Utakua msomi wa gani ambaye utakua hujasoma vitabu? Unaonekana personally unamchukia Zitto na hapa sio sehemu ya kujadili mambo binafsi.
 
Watu wanachukia kuona Zitto anasoma vitabu hadi kumtukana. Watanganyika sijui akili waliacha wapi!
 
Watanzania siku zote ni wavivu wa kusoma vitabu,hii imedhihirika hata hapa jf.Nilitegemea kwamba watu watamuunga mkono zitto na wengine wote wenye kusoma vitabu,matokeo yake tumekuwa watu wenye kejeri na maneno mengi yasiyo na mantiki,lakini tukumbuke kwamba siku zote maarifa hayaongezwi kwa kusoma magazeti ya udaku na stori za siasa bali kwa kusoma vitabu mbalimbali. Big up zito.Hii inatukumbusha wale ambao tuko kwenye harakati za ujenzi wa vibanda vyetu kuweka study room ili kuwajenga watoto wetu katika kusoma literature.
 
Watu wanachukia kuona Zitto anasoma vitabu hadi kumtukana. Watanganyika sijui akili waliacha wapi!

Watanganyika ndo watu wenye roho mbaya zaidi duniani.

watanganyika wanaongoza kwa ushirikina.

watanganyika ndo watu wenye IQ ndogo kabisa duniani.


Hizo ni takwimu za utafiti uliofanywa dunia nzima.


na sample space walitoka humu JF., hasa Jukwaa la siasa na celebrity.
 
Safi sana kijana anaongeza knowledge halafu wengine wanamponda. Wakati tokea wasome vitabu vya secondary hadi leo hawajasoma kitabu chochote!
 
mkuu,yaani hali hii inasikitisha na kukatisha tamaa sana.hii kitu kuna uzi nilishawahi sema kuwa kama mtu anashindwa kusoma uzi hapa JF mpaka mwisho,tena uzi mfupi tu au mchango mfupi tu wa mwana JF mwenzake,na ambaye anajiita msomi (mmojawapo ni mwanasheria)kwa kusema kuwa eti mtu kwa nini aandike li post reeeefu ambalo kwa yeye anasema hawezi kulisoma,halafu eti mtu kama huyo huyo kesho anatakiwa atuwakilishe kwenye kuweka saini mkataba fulani ambapo analetewa mavolume kwa mavolume,je tutegemee nini kwa huyo mtu!!!??nafikiri sasa inabidi tutafute njia ya kuwaachia urithi wa kupenda kusoma watoto wetu ili taifa la kesho lisije kuwa taifa la watu wasio na maarifa.
 
Back
Top Bottom