Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 793
Hawana tofauti na kina Maji Marefu hapo hawawezi kusoma chochote
Ila tuseme ukweli asilimia kubwa ya waBunge wetu hata makaburasha yenyewe ya Bunge hawayasomi!
Hawana tofauti na kina Maji Marefu hapo hawawezi kusoma chochote
Kwa jinsi hiyo mnavyo msifia mme wenu hata akionyesha choo anachotumia kunyea mtatuletea hapa ili tujadili jfkwenye mtandao wake wa facebook kapost vitabu alivyosoma mwaka huu 2014
JANUARY MAKAMBA naye ana library kubwa tuu ya vitabu
https://www.facebook.com/photo.php?...1759799.111977.100000321189166&type=1&theater
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kuhusu hiko kitabu hichi juu anasema hivi:
"Jakaya Kikwete anaingia ameingia katika mwaka wake wa mwisho wa uongozi wake akiwa na mtihani mkubwa unaohusu legacy yake mwenyewe. Ni Kiongozi pekee wa Tanzania aliyeruhusu taasisi za Uwajibikaji kufanya kazi zake na hata yeye kujikuta akichukua hatua kulingana na maamuzi ya taasisi hizo. Kabla yake, hakuna Rais wa Tanzania aliyetoa nafasi kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kufanya kazi zake kwa uwazi na umahiri. Hatua yake ya kujadili kwa uwazi taarifa ya CAG ya mwaka unaoishia Juni 30, 2006 kwa kuwaita Mawaziri, Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya, kasha Makatibu Wakuu, Ma RAS na Ma DED ilijenga msingi mkubwa wa taarifa zinazofuata za CAG. Mwaka 2012 alifukuza kazi mawaziri 6 na manaibu mawaziri 2 kufuatia Taarifa za Kamati za Bunge za Mahesabu zilizotokana na Taarifa ya CAG. Haikupata kutokea katika historia ya nchi yetu Rais kufanya hivyo. Hata hivyo, Rais Kikwete amepata changamoto kubwa inayotokana na mafanikio yake ya miaka 9 ya uongozi wake. Namna atakavyo shughulikia suala la akaunti ya Tegeta Escrow, ama itafuta legacy yake au itaiimarisha. Akiimarisha atakuwa redefining leader Kiongozi ambaye anatoa changamoto kwenye mazoea na kufanya yale ambayo wenzake walishindwa."
Soma RaiaTanzania kesho Jumatatu katika jarida la Elimu. Hiki ni kitabu changu cha mwisho wa mwaka huu 2014 The Myth of The Strong Leader by Prof. Archie Brown
https://www.facebook.com/photo.php?fbid=859106847443347&set=a.102079856479387.4657.100000321189166&type=1&theater
Hahaha. Kwa hiyo kwenye Ofisi ya sugu hakuna kitabu hata kimoja. kuna vipisi vya fegi na ganja tu
I respect so much vijana na viongozi wanaopenda kusoma.
mi nasubiri list ya vitabu vilivyosomwa na wenyeviti wa vyama. naamini hapa wenyeviti ngoma itakuwa duroo:becky:
SUGU hana muda mchafu wa kusoma vitabu, yeye na GANJA, ganja na yeye.
Hakuna kitu debe tupu haliachi kutika. Kwani kusoma vitabu na issue. Apeleke huko u bisho wake.
Sijaona hata kimoja chenye maana. Vyote ni history.Angejisomea tu " The Secrte"The master Key System nungemwelewa.Otherwise anakopi na kupaste mafanikio na makosa wengine Ulayani, Asia na Uislam
Najaribu kufikiria Mbowe atakuwa anasoma vitabu gani
Hakuna kitu debe tupu haliachi kutika. Kwani kusoma vitabu na issue. Apeleke huko u bisho wake.
Watu wanachukia kuona Zitto anasoma vitabu hadi kumtukana. Watanganyika sijui akili waliacha wapi!
ndio maana zitto ana akili sana! nina uhakika zitto ni mbunge mwenye uelewa mkubwa kuliko wabunge wote,
Hakuna kitu debe tupu haliachi kutika. Kwani kusoma vitabu na issue. Apeleke huko u bisho wake.