Recent content by Nick J Vuitton

  1. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania PSSSF kulipa fao la wategemezi kwa warithi walio chini ya miaka 18 ni dhuluma kubwa

    Alikua mstaafu anapokea pensheni na alifariki mwaka Jana .
  2. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania PSSSF kulipa fao la wategemezi kwa warithi walio chini ya miaka 18 ni dhuluma kubwa

    Akiacha mjane analipwa mm bi mkubwa kalipwa bila shaka ilaa watoto hakuna labda kama Kuna alie chini ya 18
  3. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Sukari yafika shilingi 5,000 kwa kilo moja

    Kwan nyie Bado mnakunywaga chai ? Me nilishasahau saiz ni mwendo wa maziwa fresh tu hayaitaji sukari Wala majani ya chai.
  4. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Wadau wa kilimo cha nyanya tupeane maufundi ya kupamba na hali ya mvua

    Master Kinga cymoxonil na mancozeb
  5. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Jifunze kilimo cha nyanya

    Majii yanakua mengi mno wakati nyanya ikiwa imekuzwa Kwa unyevu kidogo then maji yakaongezeka ghafla nyanya inaongeza ukubwa wa tunda wakati ganda la nje ni dogo ndipo hupelekea nyanya kupasuka. Ushauri: Kama umelima nyanya na unaona itakutwa na mvua jitahidi umwagilie maji mengi mara Kwa mara...
  6. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Jifunze kilimo cha nyanya

    Nahisi nimechelewa sana kujibu hili ilaa itasaidia wengine Jitahidi sana kulima mbegu yenye ukinzani wa huu ugonjwa na kama umeona dalili shambani ng'oa Miche iliyoathirika then piga dawa INNOVEX Kwa dosage ya 30 ml per 20 litres ya maji changanya na ridomil gold au fungicide yenye kiambato Cha...
  7. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Jifunze kilimo cha nyanya

    Mkuu huu ugonjwa uliwahi nipata nilipulizia innovex ukaisha kabisa
  8. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Dawa ya palizi ya mahindi

    Hii utaunguza mahindi vibaya mno hii inatakiwa upoge kabla haujaotesha kama Kuna majani unampeleka Chaka mwenzio
  9. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Dawa ya palizi ya mahindi

    Tafuta cleaner
  10. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Mbegu ipi ya nyanya inafaa kupanda kipindi hiki cha mwezi wa 9?

    Panda asila F1 mkuu hutajutia bei yake gram 30 laki 2 na nusu ivi
  11. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Fuels Economy family car

    Go for Toyota Alphard hutojutia mkuu
  12. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Nina mtaji wa Tsh. Million 15, nahitaji muongozo

    Huyo. Rafiki Yako ni punguani na ww pia ni mjinga Kwa kukariri vitu ukitaka kujua Kwa nn niulize nikupe majibu .
  13. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Ombi la Rais kuhusu Fei Toto kwa Yanga ni agizo lakini lisivunje kanuni za FIFA

    Ukisikiliza vizuri maneno ya rais ni kama ametumia fasihi TU kufikisha amri yanga lazima wamuachie Feisal la sivyo GSM yatamkuta yaliyomkuta manji atahamia Zambia very soon Tena kasema hafurahishwi na Hilo na anataka mrejesho haraka
  14. Nick J Vuitton

    JamiiForums Tanzania Ujasiliamali kwenye sekta ya uvuvi

    Unatukaribisha tuwekeze kwenye sector ya uvivu ?? Hapana mm sipo tayari mkuu
Back
Top Bottom